Kwenye kitabu cha the Baron letters kilichoandikwa na mwandishi Gary Halbart, anamshirikisha mtoto wake makosa ambayo amewahi kuyafanya kwenye maisha yake, na mengi aligundua aliyafanya akiwa kwenye moja ya hali hizi nne. Hivyo anamwambia mtoto wake asifanye maamuzi yoyote anapojikuta kwenye moja ya hali hizo nne; Moja; hasira. Usifanye maamuzi ukiwa kwenye hasira, jisubirishe kufanya …
Continue reading "Ukiwa Na Hali Hizi, Epuka Kufanya Maamuzi"