Maisha ni maumivu, huwezi kukwepa hata siku moja. Kila mmoja anapitia maumivu yake. Jim anatuambia; “We must all suffer one of two things: the pain of discipline or the pain of regret.”Akimaanisha kila mmoja wetu lazima ataumia na kimoja kati ya hivi viwili;maumivu ya nidhamu au maumivu ya majuto. Iko hivi, ili kupata chochote kwenye …
Continue reading “Lazima Upitie Maumivu Kati Ya Haya Mawili”