Ni kweli kabisa kazi ndiyo rafiki wa kweli. Na ninasisitiza watu wafanye kazi kwa sababu kupitia kazi watapata kile wanachotaka. Hata Mungu katika uumbaji wa dunia, aliweza kufanya kazi na kupumzika. Jitahidi sana uweze kupumzika baada ya kufanya kazi wiki nzima.Usipopumzika unatafuta kupata uchoshi ambao utakulazimisha uumwe kwa lazima. Mwili nao unahitaji kupumzika ili uweze …
Category Archives: FEDHA NA UTAJIRI
Ujumbe Muhimu Kwako Kutoka Kwa Elbert Hubbard
Juzi nilipokea zawadi kutoka kwa rafiki yangu Kocha Dr Makirita Amani, ni zawadi ya kijitabu kidogo ambacho amechambua ujumbe wa insha kutoka Garcia, ujumbe kwenda kwa Garcia yaani A message to Garcia. Naomba ninukuu kama ilivyo kutoka kwa Elbert Hubbard. Kama unamfanyia mtu kazi, mfanyie kazi kweli. Kama anakulipa mshahara unaoweza kukupatia mkate na siagi …
Continue reading “Ujumbe Muhimu Kwako Kutoka Kwa Elbert Hubbard”
Hii Ndiyo Sehemu Pekee Ambayo Mafanikio Yanakuja Kabla Ya Kazi
Ni kwenye kamusi hakuna sehemu nyingine. Kamusi ndiyo sehemu pekee ambayo mafanikio yanakuja kabla ya kazi. Kufanya kazi kwa juhudi ndiyo gharama tunayolipa ili kufanikiwa. Vince Lombardi — Sina uhakika kama itakufaa lakini kazi ndiye rafiki wa kweli. Fanya kazi na achana na biashara nyingine ambazo hazina mchango wa kukufikisha kule unakotaka kufika. Linda muda …
Continue reading “Hii Ndiyo Sehemu Pekee Ambayo Mafanikio Yanakuja Kabla Ya Kazi”
Mambo Mawili Ya Kuzingatia Katika Fedha
USICHEZE NA HELA, kuwa makini na hela zako, zisimamie vizuri na wekeza sehemu salama unayoweza kuifuatilia kwa umakini.USIENDE MAHALI NA FEDHA UNAYOTAKA KUTUMIA TU. Kwa kifupi kwenye maisha usiwe na kiasi cha fedha unachohitaji kwa matumizi tu, unahitaji kuwa na kiasi cha fedha kwa ajili ya dharura. Kila mara yanatokea mambo ambayo hatukutegemea yatokee, kama …
Kama Unataka Kuwa Bora
Jitahidi kufanyia kazi kwa vitendo yale yote unayajua kadiri ya vile unavyotaka kuwa bora kupitia kile unachofanya. Unajua kwamba kuamka mapema, inaleta afya, utajiri na hekima basi amka mapema na fanya hivyo utaona matokeo. Usitamani mafanikio ambayo hujayakalia katika mchakato. Kama unataka kuwa muuzaji bora kuwahi kutokea, jitahidi kufanya mazoezi ya mauzo na kujifunza kila …
Kuwa Polisi Wa Muda Wako
Akitokea mtu anakunyang’anya laki moja yako hutakubali kirahisi, utapambana mpaka dakika ya mwisho. Lakini ikitokea mtu anatumia muda wako vile anavyotaka wala huna wasiwasi utamchekea tu. Watu wanasahau sana thamani ya muda wao kwamba muda ndiyo unawaletea fedha. Kwa mfano, kama thamani ya muda wako kwa saa ni laki moja hivyo kila dakika moja utakua …
Njia Rahisi Sana Ya Kutokupoteza Muda Wako
Ni kujua thamani ya muda wako. Pata picha kama unajua thamani ya muda wako kwa saa moja ni million moja utalipoteza kwenye mambo ya kijinga? Unatakiwa kukokotoa thamani ya muda wako na kuona muda wako ni fedha na pale unapotumia kwenye mambo ambayo siyo sahihi jisikie vibaya kutumia fedha zako kwa mambo yasiyokuwa muhimu kwako. …
Continue reading “Njia Rahisi Sana Ya Kutokupoteza Muda Wako”
Usijali Wengine Wanakuchukuliaje
Huwa tunajali sana wengine wanatuchukuliaje, ndiyo maana mambo mengi sana tunayofanya ni kuwaridhisha watu na kujionesha kwa wengine. Ikiwa utaweza kuishi maisha yako na kutokujali wengine wanakuchululiaje basi utaweza kuishi maisha bora na uhuru wa kufanya kile unachotaka. Wewe ndiyo mkurugenzi wa maisha yako, unaelewa unatoka wapi, ulipo na kule unakotaka kufika. Hivyo basi, usiogope …
Ukifanya Kazi Matokeo Yaonekane
Kama unafanya kazi, basi matokeo yataonekana kama kweli unafanya kazi wala hayawezi kudanganya. Na kama hufanyi kazi matokeo yataonekana. Kama unafanya kazi halafu matokeo hayaonekani basi jua kuna mahali unakosea. Unatakiwa ukae chini ujitafakari ni wapi unakosea ili basi matokeo yaonekane. Unapofanya kazi, lazima maisha yako yabadilike. Kazi ni rafiki mzuri kwako. Kama huoni matokeo …
Watu Wanakupendea Vitu Hivi Viwili
Sisi binadamu tuna asili ya unafiki, huwa tupo kimaslahi zaidi. Tunaanzisha mahusiano na mtu fulani kwa sababu tunajua tutapata kitu fulani. Siyo watu wote wanaoanzisha mahusiano na wewe na unaona watu wanakupenda kweli, siyo kweli kwa sababu wengine wanakuja kwako kwa sababu ya maslahi kitu fulani na ataonesha anakupenda kwa sababu apate kile anachotaka. Watu …