Wakati mwingine tunahisi hatujaendelea kwa sababu tunaangalia sana kile ambacho bado hatujapata. Lakini jiulize: Mwezi uliopita nilikuwa wapi, na leo niko wapi? Huenda bado hujafika unapotaka kufika, lakini: Umejifunza kitu kipya. Umeongeza wateja. Umeanza kuweka akiba. Umeacha tabia fulani. Umeongeza nidhamu. Umeanza kuchukua hatua. Hayo ni maendeleo. Usijipime kwa maisha ya wengine. Jipime dhidi ya …
Continue reading "PIMA MAENDELEO YAKO KABLA HUJAHUKUMU MAISHA YAKO"