Kuna watu wanafanya kazi maisha yao yote kutafuta fedha. Lakini kuna tofauti kubwa kati ya kutafuta fedha na kujenga mfumo ambao fedha nayo inakutafutia fedha. Ukipata fedha na zote zikaishia kwenye matumizi, kila mwezi itabidi uanze tena kutafuta. Lakini ukiweza kutenga sehemu ya fedha yako na kuipeleka kwenye kitu kinachoweza kuongeza thamani au kuzalisha kipato, …
Continue reading "π° FEDHA YAKO INAPASWA KUFANYA KAZI PIA"