Moja, USICHEZE NA HELA. Kuwa makini na hela zako, zisimamie vizuri na wekeza sehemu salama unayoweza kuifuatilia kwa umakini. Mbili, USIENDE MAHALI NA FEDHA UNAYOTAKA KUTUMIA TU. Kwa kifupi kwenye maisha usiwe na kiasi cha fedha unachohitaji kwa matumizi tu, unahitaji kuwa na kiasi cha fedha kwa ajili ya dharura. Hatua ya kuchukua leo; USICHEZE …
Continue reading "Mambo Mawili Ya Kuzingatia Katika eneo La Fedha"