Huwa hakikui. Watoto wadogo huwa wana kliniki wanapima uzito na maendeleo mengine ya ukuaji. Wanafanya hivyo ili kujua maendeleo ya watoto kwa sababu bila KUPIMA huwezi kujua kama kitu kinakua au hakikui. Hii ina maana gani kwetu? Unatakiwa kujifanyia tathmini kila siku, kila wiki na mwezi ili ujue maendeleo yako. Kila unachofanya hakikisha unakipima, usiendelee …
Category Archives: HAMASA
Kama Huna Shauku Unakuwa Umekosa Hiki
Shauku ndiyo sifa inayolipa duniani kuliko sifa zote. Kwa chochote kile unachokwenda kukifanya leo, nenda kakifanye kwa shauku na utajenga ushawishi lakini pia kukubalika na kufanikiwa kwenye kile utakachofanya. Mtu ambaye hana shauku anakuwa amekosa ladha. Anakuwa kama chakula kilichokosa chumvi kinakosa ladha. Pata picha unajisikiaje ukila chakula ambacho hakina ladha? Kinakuwaje? Unapokuwa unafanya chochote …
Njia Inayosababisha Watu Wengi Kutokuchukua Hatua
Iko hivi rafiki yangu nikupendaye, Kadiri unavyotumia muda mwingi kufikiria na kutafakari jambo, ndivyo inavyokuwa vigumu kwako kuchukua hatua. Wewe angalia hata kwako mwenyewe, mambo mengi uliyochukua hatua haraka ndiyo yameleta matokeo lakini yale ambayo unafikiria hujafikia hata kuchukua hatua. Hivyo basi, jifunze kufikia maamuzi haraka, kisha ukishaamua, chukua hatua, usianze tena kufikiria na kutafakari. …
Continue reading “Njia Inayosababisha Watu Wengi Kutokuchukua Hatua”
Licha Ya Madhaifu Yako, Bado Wewe Ni Mtu Muhimu Sana
Rafiki yangu nikupendaye, Pamoja na madhaifu yako, bado wewe ni muhimu. Moja ya mambo yanayopelekea tusijijali sana ni kwa sababu tunajijua sisi wenyewe kuliko mtu mwingine anavyotujua, kuliko tunavyowajua watu wengine. Sasa inapotokea pale tunapojikumbusha madhaifu yetu, mabaya ambayo tumewahi kufanya huko nyumaz tunajiona tunastahili mateso na hivyo kutokujijali kama tunavyowajali wengine. Tunakuwa tunajiona sisi …
Continue reading “Licha Ya Madhaifu Yako, Bado Wewe Ni Mtu Muhimu Sana”
Miaka 6 Ya Kuandika Kila Siku Na Mambo Kumi Ya Kujifunza
Ilikuwa ni tarehe moja mwezi octoba mwaka 2016 ndipo nilianza marathoni ya kuandika kila siku bila kuacha. Namshukuru Mungu kwa yote katika kipindi chote cha miaka 6 ya kuandika kila siku. Yako mengi ambayo unaweza kujifunza kupitia kazi yangu ya uandishi. Kuandika ni kazi kama zilivyo kazi nyingine lakini ni kazi ngumu kwa sababu inahitaji …
Continue reading “Miaka 6 Ya Kuandika Kila Siku Na Mambo Kumi Ya Kujifunza”
Wako Watu Wa Aina Mbili, Je wewe Upo Aina Gani Kati Ya Hawa
Kuna watu aina mbili hapa duniani. Wapo watu ambao wanayakubali majukumu yao na kuchukua hatua. Na wapo watu ambao wanayakataa kabisa majukumu yao na kutafuta sababu kwa nini hawawezi kuchukua hatua. Kifupi rafiki yangu, mafanikio hayajawahi kwenda kwa mtu yeyote ambaye siyo wa kukubali majukumu. Mafanikio yanawapenda wale wanaokubali majukumu na kuchukua hatua na siyo …
Continue reading “Wako Watu Wa Aina Mbili, Je wewe Upo Aina Gani Kati Ya Hawa”
Tafuta Mtu Wa Kukuwajibisha
Kwa sababu sisi binadamu ni wavivu kiasili. Usipokuwa na mtu anayekuwajibisha ni vigumu kuchukua hatua. Kama unaona nidhamu binafsi bado ni tatizo tafuta mtu ambaye atakuwajibisha yaani accountability partner. Mtu ambaye unamweshimu na wala hutoweza kumwangusha hata kidogo. Wakati mwingine unaweza kumpa kiasi fulani cha fedha kwamba akae na hizo fedha usipofanya kitu fulani basi …
Tafuta Mtu Wa Kukuwajibisha
Kwa sababu sisi binadamu ni wavivu kiasili. Usipokuwa na mtu anayekuwajibisha ni vigumu kuchukua hatua. Kama unaona nidhamu binafsi bado ni tatizo tafuta mtu ambaye atakuwajibisha yaani accountability partner. Mtu ambaye unamweshimu na wala hutoweza kumwangusha hata kidogo. Wakati mwingine unaweza kumpa kiasi fulani cha fedha kwamba akae na hizo fedha usipofanya kitu fulani basi …
Tafuta Mtu Wa Kukuwajibisha
Kwa sababu sisi binadamu ni wavivu kiasili. Usipokuwa na mtu anayekuwajibisha ni vigumu kuchukua hatua. Kama unaona nidhamu binafsi bado ni tatizo tafuta mtu ambaye atakuwajibisha yaani accountability partner. Mtu ambaye unamweshimu na wala hutoweza kumwangusha hata kidogo. Wakati mwingine unaweza kumpa kiasi fulani cha fedha kwamba akae na hizo fedha usipofanya kitu fulani basi …
Kinachokufanya Usiende Mbele Ni Hiki Hapa
Hakuna kitu kingine zaidi ya kutochukua hatua. Hakuna mtu asiyejua ili afanikiwe anapaswa kufanya nini. Hakuna asiyejua ili afanikiwe kiroho, kiakili au kimwili anatakiwa kufanya nini. Watu wanajua kile wanachopaswa kufanya lakini shida iko kwenye kutokuchukua hatua. Wako watu wana kiri kabisa baada ya kuanza kuchukua hatua kwa nidhamu sasa wanaona mabadiliko chanya kwenye maisha …
Continue reading “Kinachokufanya Usiende Mbele Ni Hiki Hapa”