Jinsi Ya Kujua Kama Unaenda Mbele Au Unarudi Nyuma Kiuchumi

Siku moja nilikuwa nasafiri kuelekea Dodoma kwenye semina, nikakutana na rafiki kwenye gari. Alinieleza ni kwa jinsi gani amekuwa hana nidhamu ya fedha, hajui afya ya kipato chake. Siyo yeye tu, wako wengi ambao hawajijui kama wanaenda mbele kiuchumi au wanarudi nyuma kiuchumi. Nilimuuliza rafiki niliyekutana naye kwenye gari, je, unaweza kuniambia matumizi yako ya …

Hasara Moja Ya Kuwa Mvivu

Hakuna dhambi ambayo inawafanya watu wengi kutokufanikiwa kwenye maisha yao kama uvivu. Uvivu ndiyo chanzo cha watu wengi kutokupiga hatua. Sina uhakika kama itakufaa lakini unapokuwa mvivu unakuwa unawavunjia heshima wale wote wanaokuamini. Ikiwa utakua mvivu basi nakuhakikishia utakuwa unawavunjia heshima wale wote ambao wanaokuamini na hiyo ndiyo hasara moja ya uvivu. Pata picha ni …

Mambo Muhimu Ya Kuzingatia Ili Wateja Wakae Na Wewe Kwa Muda Mrefu

Kila biashara inahitaji mteja ili iweze kuendelea, maisha ya biashara yanategemea mteja kwa sababu mteja ndiyo analeta fedha. Mteja ndiyo anafanya mauzo yaweze kwenda vizuri kwenye biashara yako, mauzo ndiyo moyo wa biashara. Na biashara nyingi zenye changamoto ukichunguza vizuri shida inaanzia kwenye mauzo. Mauzo yakishakuwa chini utashindwa kujiendesha kibiashara na hatimaye utashindwa kulipa bili …

Kiwango Cha Fedha Kinachowatesa Watu Wengi

Kadiri ya Grant Cardone kuna aina tatu za fedha lakini mimi leo niko hapa kukuambia kiwango kinachowatesa watu wengi na kushindwa kusonga mbele kwenye eneo la fedha. Aina ya kwanza ya kiwango hiko cha fedha kinachowatesa watu ni kiwango cha hofu. Kiwango cha hofu katika fedha kikoje kwani? Kiwango cha hofu hiki ni kiwango cha …

Usikadirie Chochote Kile

Usikadirie chochote kile, wewe weka juhudi kadiri uwezavyo lakini usilazimishe matokeo unayotaka wewe. Matokeo yako nje ya uwezo wako, lakini mchakato wa kitu chochote kile uko ndani ya uwezo wako. Usifanye kitu halafu ukakadiria matokeo maana matokeo yanaweza kukuumiza vibaya na ukachukia hata kuendelea na mchakato. Wewe weka juhudi kadiri unavyoweza lakini usilazimishe matokeo yawe …

Jinsi Ya Kuendelea Kuvuna Kwa Mteja Wako

Wale watu ambao wanategemea kupata huduma yako kupitia kazi au biashara yako ndiyo wateja wako. Hata kama wewe ni mzazi basi watoto ni wateja wako, unatakiwa kuwapa huduma bora ya malezi kuwahi kutokea duniani. Wewe kama ni mke au mume unatakiwa kutoa huduma bora kwa mteja wako ambaye ni mke au mume wako. Wewe kama …

Imani Ulizonazo Zinachangia Sana Wewe Kuwa Hivyo Ulivyo

Imani ulizonazo, zinachangia sana kwenye matatizo na changamoto unazokutana nazo. Na ubaya wa imani ni kwamba, mtu unaweza hata usijue kama ni imani iliyopo ndani yako hasa kama ni kitu ambacho umezoea kukifanya. Unahitaji kubadili imani yako juu yako mwenyewe na kile unachokutana nacho. Inawezekana kabisa imani uliyonayo ndiyo inakufanya uende mbele au urudi nyuma. …

Ili Usiwe Tegemezi Kwa Wengine Fanya Hivi

Ili usiwe tegemezi kwa wengine lazima uwe na mengi ndani yako lakini pia, lazima ujue kilichopo ndani yako na uweze kukitumia vizuri. Watu wengi wamekuwa tegemezi kwa wengine, wamekuwa watumwa kwa wengine kwa sababu wamejitelekeza wao wenyewe. Usipojitumia vizuri na kutumia rasilimali ambazo unazo tayari utaishia kuwa tegemezi kwenye maisha yako yote. Unakuwa tegemezi kwa …

Usiwe Na Wasiwasi

Mara nyingi kinachowazuia watu kufanya maamuzi kwenye maisha yao ni wasiwasi wanaokuwa nao juu ya kitu fulani. Kitendo cha watu kuwa na wasiwasi, kinawafanya wasifanye maamuzi kwa kuona bado hawajawa na uhakika wa kutosha. Rafiki yangu, niko hapa kukuondoa wasiwasi, usiwe na wasiwasi juu ya kitu fulani unachotaka kuanza kwenye maisha yako. Usiwe na wasiwasi …

Yote Uliyojifunza Hayatawezekana Kama Utakosa Kitu Hiki Kimoja

Kitu hicho ni uaminifu. Uaminifu ni msingi muhimu sana. Yote tuliyojifunza hapa na tunayoendelea kujifunza hapa hayatawezekana kama utakosa kitu kimoja ambacho ni uaminifu. Unahitaji kuwa na uaminifu wa hali ya juu sana. Wakati mwingine uaminifu wako utakukosesha wateja, hasa pale utakapowaeleza ukweli kwamba kile wanachohitaji hasa wewe huna. Ni bora useme ukweli kuliko kudanganya, …

Design a site like this with WordPress.com
Get started