Usiogope kukosea pale unapochagua kufanya maamuzi. Ni bora ufanye maamuzi ukosee kuliko kutokufanya maamuzi. Kwa sababu utarekebisha makosa yako kuliko kutokufanya maamuzi kabisa. Sijui kwa nini watu wanaogopa kufanya maamuzi, usipofanya maamuzi maana utaendelea kubaki na kile unachokiamini lakini ukifanya maamuzi itakusaidia kupata kitu kipya. Maamuzi ndiyo yanaleta mafanikio makubwa kwenye kila eneo la maisha …
Continue reading "Usiogope Kukosea Pale Unapochagua Kufanya Kitu Hiki"