Usiogope Kukosea Pale Unapochagua Kufanya Kitu Hiki

Usiogope kukosea pale unapochagua kufanya maamuzi. Ni bora ufanye maamuzi ukosee kuliko kutokufanya maamuzi. Kwa sababu utarekebisha makosa yako kuliko kutokufanya maamuzi kabisa. Sijui kwa nini watu wanaogopa kufanya maamuzi, usipofanya maamuzi maana utaendelea kubaki na kile unachokiamini lakini ukifanya maamuzi itakusaidia kupata kitu kipya. Maamuzi ndiyo yanaleta mafanikio makubwa kwenye kila eneo la maisha …

Agiza Tukuletee

Maisha yamebadilika, zama zimebadilika na watu wamekuwa na mambo mengi huku muda ukiwa mchache sana ukilinganisha na mambo wanayotakiwa kufanya. Ili ufanikiwe kwenye mauzo unatakiwa kupiga pale kwenye maumivu. Huwezi kuuza kama unapiga kwenye uimara wa mtu bali utaweza kuuza kama ukipiga kwenye udhaifu wa mtu. Ili upate ushindi wowote ule, usikimbilie kwenye uimara wa …

Kushindwa Kwenye Maisha Yako Kuna Anzia Hapa

Kushindwa kwenye maisha yako kuna anzia pale unapoipoteza siku yako moja. Kwa sababu, mafanikio ni mkusanyiko wa siku nyingi unazoishi kimafanikio kila siku. Jim Rhon anasema siku ni ghali sana na unapotumia siku moja maana yake umepunguza siku kwenye maisha yako. Maisha ndiyo haya haya, ukitumia muda wako vizuri inakuwa ni faida kwako na ukitumia …

Hiki Ndiyo Kinaathiri Maisha Yako

Dunia inatufundisha vitu vingi, kwa kuona, kusikia na kwa kufanya. Asili huwa inatufundisha vitu vingi sana katika maisha lakini changamoto kubwa ya watu wengi hawajui namna ya kukielewa kile ambacho asili huwa inawafundisha. Ruben Gonzalez aliwahi kunukuliwa akisema, kinachoathiri maisha yako siyo kinachotokea, bali jinsi unavyopokea na kufanyia kazi kinachotokea. Nakubaliana na Ruben Gonzalez kwa …

Usiridhike Na Mafanikio Haya Hapa

Ni kawaida watu wakifanikiwa kidogo, mafanikio madogo huwa ni kikwazo kwao. Kamwe usiridhike na kupata mafanikio kidogo, badala unapaswa kujiweka kwenye hatari mara zote. Watu waliofanikiwa kidogo, wanakuwa wanaridhika mapema na mafanikio waliyopata na kuendelea kuyalinda. Badala ya kukazana wafanikiwe zaidi, wao wanakazana kuyalinda zaidi. Kwa mfano, timu ya mpira inapopata goli moja na kuendelea …

Chochote Unachokisema Vibaya Kinakukimbia

Ukiisema fedha vibaya, itakukimbia. Na mara nyingi, watu wasiokuwa na fedha, ndiyo wanaongoza kwa kusema vibaya kuhusu fedha. Iko hivi hivi, chochote ambacho unakisema vibaya kinakukimbia, pata picha umeshavisema vibaya vitu vingapi? Kama ulishawahi kuisema fedha na matajiri vibaya ilishawahi kukusaidia kupata fedha zaidi? Badala yake? Inakufanya uzikose zaidi. Watu wasiokuwa na fedha ndiyo wanaongoza …

Kimbia Haraka Sana Ukisikia Neno Hili

Viashiria vya utapeli viko vingi, na watu wengi wanatapeliwa sana. Utajisikiaje kama leo ukijua kiashiria kimoja cha utapeli? Ukisikia neno HAKUNA KUFANYA KAZI, kimbia haraka sana maana hapo kuna dalili za kupigwa. Ukisikia mtu anakuambia kwamba fursa fulani unapata mafanikio bila ya wewe kufanya kazi kabisa, mwambie asante sana kisha ondoka haraka sana na ikiwezekana …

Juhudi Unazoendelea Kuweka Zitakufikisha Kweli Kule Unakotaka Kufika?

Kila siku unapaswa kujitathimini ili uweze kujijua kama unaenda mbele au unarudi nyuma.Kwenye maisha hakuna kusimama, ukiona huendi mbele, basi jua unarudi nyuma. Unapofanya tathimini inakusaidia kukupa mrejesho wa kile unachofanya. Hivi ukijitafakari, juhudi unazoweka kwenye kazi, biashara zitakufikisha kweli kwenye malengo yako? Unataka kuwa Bilionea, je, utafikia kweli ubilionea kwa kuhudumia wateja wale wale …

Nitakutafuta Nikiwa Tayari

Nitakutafuta nikiwa tayari, ni jibu ambalo watu wengi wanaouza wanakutana nalo sana kwa wateja. Hakuna kazi ngumu kama ya mauzo kwa sababu mauzo ni kitendo cha mteja kujitenganisha na fedha zake. Hivyo inahitaji kazi kumshawishi mteja mpaka atoe fedha yake kwa amani bila kinyongo. Fedha ni rasilimali yenye uhaba kwa kila mmoja wetu. Na kutoa …

Jifunze Kitu Hiki Kwenye Maisha Yako

Hakuna kitu ambacho binadamu wanapenda kwenye maisha yako kama kuthaminiwa. Hali ya mtu kuonekana ni wa muhimu au wa thamani inawafanya watu wajisikie vizuri sana. Sisi binadamu ni viumbe vya hisia, hakuna kiumbe ambaye hapendi kusifiwa, kila mtu anapofanya kitu kizuri, anakuwa anahitaji kupongezwa au kusifiwa. Wakati mwingine watu wanavunjika moyo hata wa kufanya kazi …

Design a site like this with WordPress.com
Get started