Unapaswa kuchochea moto wa hamasa uliopo ndani yako. Hamasa ni kama moto, usipouchochea huwa unazima. Ili moto uendelee kuwaka ,lazima uchochewe, kuwepo na nishati na hewa ya oksijeni. Vile vile kwenye hamasa, unaweza kuhamasika mara moja, lakini kadiri muda unavyokwenda hamasa hiyo inapungua. Unapaswa kuchochea hamasa yakko kila siku. Unapaswa kujikumbusha kule unakoenda na jinsi …
Usimpe Mtu Ahadi Ya Kuendelea Kutegemea Wakati Huna Uhakika Wa Kumpatia
Kwenye jamii zetu watu wamekuwa ni mabingwa wa kutoa ahadi na inafikia mahali ahadi zinawafunga watu na hata kukosa raha kwa sababu kila akiangalia amezungukwa na ahadi nyingi alizoamua kuahidi kwa hisia. Maisha ni yako na una uamuzi wa kutoa pale unapojisikia kutoa na siyo lazima. Usijifunge na ahadi, kama kitu huna uwezo nacho kutoa …
Continue reading "Usimpe Mtu Ahadi Ya Kuendelea Kutegemea Wakati Huna Uhakika Wa Kumpatia"
Usiwe Kopo Linaloelea Juu Ya Maji Likiwa Limefungwa
Ukichukua kopo la maji au chupa ya maji halafu ukaifunga na kuitupia kwenye mto, bahari, au ukaiweka bombani ikiwa imefungwa kamwe maji hayawezi kuingia ndani. Hii ina maana gani katika maisha yetu ya kawaida? Watu wengi huenda wanafanya kile wanachopaswa kufanya lakini hawapati matokeo mazuri yanayofanana na juhudi wanazoweka. Yaani wako kwenye maji lakini hawayafaidi …
Continue reading "Usiwe Kopo Linaloelea Juu Ya Maji Likiwa Limefungwa"
Kama Unataka Kuuza Chochote Kile, Tafuta Kundi Hili
Kama unavyojua, maisha ni mauzo, lazima uuze kitu fulani ili upate fedha. Bila kuuza, ni wazi hakuna kipato utakachoingiza. Ili uweze kuuza chochote kile, unapaswa kutafuta kundi lenye njaa kali, kisha unawauzia kundi hilo chakula au kile wanachotaka ili kushibisha njaa yao. Nadhani unapata picha, mtu akiwa na njaa hasa, atanunua chakula kwa namna yoyote …
Continue reading "Kama Unataka Kuuza Chochote Kile, Tafuta Kundi Hili"
Njia Yenye Ushawishi Kwenye Kila Eneo La Maisha
Siyo njia nyingine bali ni nkia ya kuuliza maswali. Njia ya kuuliza maswali ina ushawishi kwenye biashara, kazi, huduma nk. Ukitaka kuwashawishi watu na kukubaliana na wewe, tumia njia ya maswali na siyo maelezo. Mara nyingi binadamu hapendi kuamuliwa, bali anapenda kuamua kupitia kuuliza maswali, yanamjengea fikra sahihi na kufanya maamuzi sahihi. Ukiwa katika mauzo …
Continue reading "Njia Yenye Ushawishi Kwenye Kila Eneo La Maisha"
Hiki Ndiyo Kinaweza Kukutofautisha Na Wengine Kwenye Biashara, Kazi Au Kile Unachofanya
Kinachoweza kukutofautisha na wengine wote ambao mnafanya biashara zinazofanana, kazi au huduma zinazoendana ni utoaji wa huduma bora sana kwa wateja. Kumbuka yoyote yule unayempatia huduma ni mteja wako. Jihoji tu, kuanzia kwenye biashara, kazi, mahusiano je, huduma ninayotoa hii kwa mteja wangu anaweza kuipata sehemu nyingine? Kama anaweza kuipata je, mimi natoaje huduma bora …
Usiwe Na Wasiwasi Na Kitu Hiki Hapa
Kabla hatujafanya kitu chochote kile, ndani ya nafsi zetu huwa kuna sauti tunazisikia. Wakati mwingine nafsi zetu zinatuambia hapa tunaweza au hatuwezi. Kinachowazuia wengi kufanikiwa ni kuwa na wasiwasi juu ya nafsi zao wenyewe.Mtu anataka ushindi wa kitu fulani, lakini hajiamini kabisa kama atashinda, kimdomo anasema anataka kitu fulani lakini nafsi haimaanishi. Kwa sababu walijaribu …
Usitawanye Nguvu Zako
Rafiki, jihusishe na kitu kimoja pekee na komaa na kitu hicho mpaka utakapofanikiwa au pale uzoefu wako unapokuonesha kwamba ni wakati wa kuachana nacho. Kwa mfano, kugonga nyundo kwenye msumari mmoja kwa kurudia rudia kunafanya msumari huo uingie ndani. Pale ambapo umakini wa mtu unawekwa kwenye kitu kimoja, akili yake inakuwa inamletea njia za kuboresha …
Kitu Pekee Kitakachokuwezesha Kuendelea Mbele
Kuna wakati unachoka na unaona ni sahihi kwako kuishia hapo ulipofika. Safari ya kupata kile unachotaka kwenye maisha yako haitakuwa rahisi, dunia haitakuachia kirahisi ufanye kila unachotaka. Utakutana na vikwazo, changamoto na magumu mbalimbali. Kuna wakati utajiona kama umekosea kila ulichokuwa unafanya. Utafikia hatua ya kukata tamaa na kuona haina haja ya kuendelea tena. Kitu …
Continue reading "Kitu Pekee Kitakachokuwezesha Kuendelea Mbele"
Mpe Mteja Uhakika Huu Hapa
Kwenye biashara au huduma yoyote ile unayotoa, unatakiwa kumpatia mteja uhakika wa kile unachomuuzia. Mfanye ajisikie kwamba amepata suluhisho na siyo kupoteza fedha zake. Siku zote kutoa fedha kunauma, kwa sababu unapotoa fedha na kulipia kitu, maana yake huna tena fedha hizo kwa matumizi mengine. Jua mteja wako ana matumizi mengine ya fedha zake, hivyo …