Moja ya sababu zinazopelekea wengi kukosa furaha ni kufanya vitu ambavyo wanajua siyo sahihi. Kitu kingine ni watu kufanya kitu huku wakitegemea matokeo fulani yatokee.Kwa mfano, unachukua hatua, ukitegemea matokeo fulani ili uwe na furaha. Hii ni njia ya kujitengenezea kushindwa na kujinyima furaha. Cicero anasema furaha siyo kitu unachokipata kutokana na kupata vitu fulani …
Continue reading "Fanya Kilicho Sahihi, Lakini Usitegemee Hiki"