Hiki Ndiyo Kitu Kinachofanya Ndoa Yako Kuwa Nzuri

Rafiki, Unapokuwa umeingia katika maisha ya ndoa ni kama vile umechagua kazi ya kufanya kila siku na usipofanya hiyo kazi uliyochagua kufanya lazima mambo yataenda ndivyo sivyo. Ukiwa kwenye ndoa kila mmoja anakuwa amekabidhiwa shamba lake alime. Sasa watu wengi wanasahau mashamba yao wanajikuta wako bize na mashamba ya watu matokeo yake mashamba yao yanaota …

Kama Kila Mtu Angepewa Mamlaka Haya Dunia Ingekuwaje

Rafiki yangu, Hivi kama kila mtu angepewa mamlaka ya kusema dunia ingekuwaje? Kama kila mtu angepewa mamlaka ya kutoa amri dunia ingekuwaje? Jamii zetu zingekaa kwa amani? Tunaweza kujifunza kwenye maeneo mengi ya maisha yetu, kwa mfano, kama kila askari angekuwa anatoa amri jeshini je jeshi lingekuwaje? Kwenye kila sehemu ambayo tupo yuko mtu ambaye …

Hiki Ndiyo Kitu Unachopaswa Kuwaonesha Watu

Mpendwa rafiki, Tulipoanza mwaka kila mmoja wetu aliweza kuweka malengo na mipango mbalimbali lakini, ni watu wachache sana walioweza kwenda na malengo na mipango waliojiwekea. Kupanga ni kazi rahisi ambayo kila mmoja anaiweza kufanya. Lakini utekelezaji ndiyo kazi ngumu ambayo kila mmoja wetu anashindwa kuifanya. Tumekuwa ni watu tunaojivunia malengo au mipango tuliyonayo kwa wenzetu, …

Sehemu Pekee Ambayo Unapaswa Kuweka Nguvu Zako Ili Upate Mafanikio

Rafiki, Kuna vitu viwili muda na nguvu. Unaweza ukawa mzee una muda wa kutosha lakini huna nguvu ya kufanya kazi. Hivyo basi, tunatakiwa kulinda sana nguvu zetu sasa, maisha yetu yawe bora tunatakiwa kutumia nguvu zetu vizuri na kuzielekeza sehemu sahihi na siyo vinginevyo. Huwa tunakosea kitu kimoja, watu wengi wanatumia nguvu kutafuta mali na …

TAFAKARI YA JUMA LA 6 NA MAMBO KUMI NA MOJA NILIYOJIFUNZA

Mpendwa rafiki, Hongera sana kwa kuwa na mwisho mzuri wa juma hili la sita. Natumaini yapo mengi uliyofanya na umepigwa hatua ukilinganisha na juma lililopita. Kama kila juma hupigi hatua maana yake unarudi nyuma. Kumbuka maisha yana kwenda mbele na siyo  kurudi nyuma. Katika kujitafari juma hili la sita nimejifunza mengi na sasa nakualika na …

Kama Familia Yako Ina Matatizo Hili Hapa Ndiyo Jibu

Rafiki, Familia ndiyo msingi wa maisha ya kila binadamu. Kila mmoja wetu amezaliwa katika familia na ni mpango wa Mungu kila mmoja wetu kuzaliwa ndani ya familia. Hivi ni nani kati yetu ambaye hajazaliwa katika familia? Kila mtu kazaliwa na baba na mama hakuna aliyejileta duniani. Ukiangalia mfumo wa familia basi utajua kabisa kuna kusudi …

Jambo Muhimu La Kufanya Katika Safari Ya Mafanikio Ili Ujisikie Raha

Mpendwa rafiki yangu, Kila siku tunafanya kazi, tunakusanya fedha, tunapiga hatua moja kwenda nyingine hata umri wetu tulionao unabadilika kila siku. Kumbe mafanikio tunayopata kila siku ni makubwa sana katika safari ya mafanikio. Kama leo uko mbele zaidi ya jana hayo nayo ni mafanikio. Nimeona watu wengi wamejikinai wao wenyewe dhidi ya maisha yao. Wanaona …

Kama Husemwi Katika Maisha Yako, Basi Hufanyi Kitu Hiki Hapa Kimoja

Rafiki yangu mpendwa, Hakuna mtu ambaye ana akili zake timamu ataweza kwenda kumpiga teke mbwa aliyekufa. Itakuwa ni jambo la ajabu sana. Hakuna mtu mwenye akili timamu pia, atakwenda kurusha mawe kwenye mti ambao hauna matunda. Ukichukua mti wa mwembe ukaenda ukauweka katika ya shule ya msingi na ukachukua mti ambao hauna matunda ukaenda ukaweka …

Chanzo Cha Tatizo Halipatikani Eneo Hili Hata Siku Moja

Mpendwa rafiki, Huwezi kutibu tatizo bila kujua kiini cha tatizo. Huwa tunakimbilia sana kutatatua matatizo yetu lakini kosa tunalofanya ni kutojua kiini cha makosa hayo ili tuweze kuyatibu vizuri. Muda mwingine tunaongozwa na hisia katika kutatua matatizo yetu badala ya kutumia akili. Hatuwezi kufikia ufanisi wa kutatua matatizo bila kuongozwa na akili. Tunatatua matatizo wakati …

Hii Ndiyo Zawadi Ya Matatizo Unayotatua

Kama tunavyojua kuwa msingi wa fedha duniani ni kutoa thamani. Hivyo basi, Tusitegemee kupata fedha kama hakuna thamani yoyote tuliyopanga kuitoa. Kila mmoja wetu anamiliki kiwango cha fedha kadiri ya aina ya matatizo anayotatua kila siku. Kwa mfano, mwalimu anatatua tatizo la ujinga, askari anatatua tatizo la usalama. Je wewe unatatua tatizo gani ili uweze …

Design a site like this with WordPress.com
Get started