Hii Ndiyo Sehemu Ya Kuanzia Kama Hujui Wapi Kwa Kuanzia

Rafiki, Huwa tunataka kufanya jambo tunajiuliza tuanzie wapi? Tuna kuwa na maswali mengi sana juu yetu tukitaka kuanza kitu fulani. Wengine huwa wanakabiliwa na hofu ya kuogopa kuanza kitu fulani na kuona je watu watanichukuliaje? Neno kubwa ambalo napenda kukuambia kama ni mtu unayejishauri ni wapi utaanzia mimi nakuambia anzia hapo hapo ulipo. Hicho ulichonacho …

Kwanini Hupaswi Kufanya Kama Watu Wanavyotaka Wao

Kila siku unatakiwa kuishi maisha ya vile unavyotaka wewe kwa sababu wewe ndiyo mkurugenzi wa maisha yako. Tumekuwa watumwa wa kuishi maisha ya watu wengine na siyo vile tunavyotaka sisi. Na hii imetuletea maisha ya maigizo sana. Chochote unachotaka kufanya fanya kwa ajili yako na siyo kumfurahisha mtu yeyote yule. Maish ni mafupi sana kama …

Kazi Unayopaswa Kufanya Kila Siku Ili Kukuletea Mafanikio Makubwa

Mpendwa rafiki, Wote tunajua umuhimu wa kazi, ila sharti la kazi iwe halali na siyo vinginevyo. Usijisifie unafanya kazi kumbe kazi yenyewe siyo halali. Kuna kazi ambayo watu wengi sana hawaifanyi, kazi ambayo kila mmoja wetu akiifanya inamletea mafanikio makubwa kwenye maisha yake. Kazi unayopaswa kufanya kila siku ili ikuletee mafanikio makubwa siyo kazi nyingine …

Jambo Muhimu La Kulijua Katika Maisha Yako

Rafiki, Kila mmoja wetu anapaswa kujua kuwa jukumu la maisha yake ni lake mwenyewe na siyo la mtu mwingine. Hutakiwi kuwa laumu watu wengine kwa kile kinachotokea katika maisha yako. Maisha ni kama mwili wako, hivyo mwili wako unapokuwa na kitu fulani huwezi kumuachia mtu bali uwe mzima au unaumwa utaambatana na mwili wako. Utayabeba …

Njia Bora Ya Kujiandaa Kifedha Ili Kukabiliana Na Matukio Na Sikukuu Za Mwisho Wa Mwaka

Mpendwa rafiki yangu, Dunia huwa inatupa kalenda ya matukio ya karibu mwaka mzima. Hapo ulipo tayari umeshakuwa na kalenda yako na unajua tukio fulani ni lini au siku gani. Hivyo, kama umeshakuwa na utambuzi huo unatakiwa sasa uchukua hatua ya kujiandaa kukabiliana na hayo. Mwezi unaongozwa kwa matumizi makubwa huwa ni mwezi wa mwisho wa …

Jinsi Ya Kufanya Kazi Yoyote Kuwa Rahisi

Kazi ndiyo msingi wa maendeleo. Mafanikio tunayotaka yanakuja kama tukiwa tunafanya kazi, mtu ambaye hafanyi kazi atanuka na hivyo hakuna mtu ambaye atapenda kukaa na mtu anayenuka. Kila na afanye kazi , kwa namna hiyo dunia itazidi kupendeza. Kama mtu ni mvivu na anataka maendeleo lakini anamkimbia kazi basi mwambie asahau kuhusu mafanikio. Kazi ni …

Tafakari Ya Juma La Kwanza Mpaka La Tatu Ndani Ya Mwezi Wa Kwanza Mwaka 2019 Na Mambo Ishirini Niliyojifunza

Mpendwa rafiki yangu, Hongera sana kwa zawadi ya kuishi majuma matatu ya mwezi wa kwanza katika mwaka 2019. Ukiona bado unavuta pumzi ujue umeachwa kwa kusudi fulani hivyo itumie hiyo nafasi uliyopata kufanya maisha yako na dunia kwa ujumla kuwa sehemu salama ya kila mmoja wetu. Ni majuma mawili yaliyopita tulikuwa tuna hamasa kubwa ya …

Haya Ndiyo Maisha Ya Ajabu Kuishi

Mpendwa rafiki yangu, Tuna uhakika wa kwamba , hakuna maisha ambayo hayana changamoto. Hakuna wito ambao hauna changamoto. Unaweza kuona maisha ya mtu fulani ni mazuri, au wito fulani ni mzuri kumbe hakuna sehemu ambayo ni salama kwa kila kitu. Kila siku tunakoseana, tunajeruhiwa na watu na kuumia mioyo yetu. Tunakuwa ni watu wa kubeba …

Kama Mwaka 2018 Ulishindwa Kufanikiwa Malengo Yako Usiache Kusoma Makala Hii

Mpendwa rafiki yangu, Dunia ya sasa ina mambo mengi. Kama mtu huna kitu cha kusimamia lazima utapeperushwa na upepo. Maisha yatakuwa magumu sana kama utataka kuishi kama vile watu wanavyotaka wao. Na siyo kama vile unavyotaka wewe. Uhuru wa maisha ni kuishi vile utakavyo wewe lakini siyo kuvunja sheria na kwenda kinyume na mapenzi ya …

Jinsi Ya Kumwandaa Mtoto Wako Kuwa Mwekezaji Na Tajiri Mkubwa Wa Baadaye

Mpendwa rafiki yangu, Kama una mtoto au unatarajia kuwa na mtoto bado una nafasi nzuri sana ya kumfanya mtoto wako kuwa mwekezaji na tajiri mkubwa sana wa baadaye. Sifa moja wapo ya uwekezaji ni  muda, kadiri unavyoanza kuwekeza mapema ndiyo uwezekano mkubwa wa kufanikiwa unaongezeka. Wazazi ni wajibu wenu kuwafundisha watoto misingi ya fedha tokea …

Design a site like this with WordPress.com
Get started