Usiwaongelee wengine vibaya, najua kuna watu wengine hawawezi kumaliza siku bila kuwasema WENGINE vibaya. Midomo yao iko kama vile bata ambaye hawezi kujizuia pale anapotaka kujisaidia. Nakusihi sana acha kusema watu vibaya, wewe siyo kiranja wa dunia ambaye unataka watu wawe kama vile unavyotaka wewe. Ukikosa mazuri kwa mtu ya kusema, basi kaa kimya na …
Category Archives: MAHUSIANO NA NDOA
Ukitaka Kuoa Au Kuolewa Olewa Au Oa Mtu Huyu
Kwanza kabisa nikuambie tu kitu rafiki yangu nikupendaye, Huwezi kubadilisha asili ya mtu hata siku moja. Kama ulioa au kuolewa ukiwa na lengo la kutaka kumbadilisha mtu awe kama unavyotaka wewe hapo umejidanganya. Ukweli ni kwamba, ukitaka kuoa au kuolewa, oa au olewa na mtu ambaye hutaki kumbadilisha. Matatizo mengi kwenye mahusiano huwa yanayokea pale …
Continue reading “Ukitaka Kuoa Au Kuolewa Olewa Au Oa Mtu Huyu”
Umuhimu Mkubwa Wa Kuimarisha Mahusiano Yako
Iko hivi rafiki yangu nikupendaye, Kwa chochote kile unachotaka kwenye maisha yako, utakipata kwa watu wengine. Mafanikio unayotaka kuyaona kwenye maisha yako, watakaokusaidia kupata ni watu wengine. Kifupi kile tunachotaka tutakipata kupitia watu wengine, watu wanakutegemea ili wafanikiwe kupitia wewe. Unahitaji kuwa na mtandao wa watu ambao wanaweza kukusaidia kwenye maeneo mbalimbali na wewe pia …
Continue reading “Umuhimu Mkubwa Wa Kuimarisha Mahusiano Yako”
Epuka Tabia Hii Kwenye Mahusiano Yako
Kiasili kila binadamu anapenda kusifiwa. Kila binadamu anapenda kuonekana anathaminiwa. Kitu ambacho kinavuruga mahusiano yetu na wale tunaohusiana nao ni kukosoa. Kwa mtu yeyote yule unayehusiana naye, ukitaka kuboresha mahusiano yenu, iwe ni ya kazi, biashara, ndoa na nk msifie na usimkosoe. Wapende na wachukulie watu kama walivyo. Tafadhali kazi yako isiwe ya kukosoa bali …
Jinsi Ya Kuwapenda Watu
Njia bora ya kuwapenda watu na kujenga mahusiano bora ni kuwakubali watu kama walivyo. Bila ya kutaka wabadilike au wawe kama unavyotaka wewe. Lakini, ukishaanza kusema unawapenda watu kwa sababu wako kwa aina fulani na ukishaanza kutaka watu wabadilike na kuwa kama unavyotaka wewe ndiyo uwapende, jua hapo hujawapenda watu. Kamwe haitatokea kila mtu kwenye …
Kitu Ambacho Wanandoa Wengi Hawana
Wengi wanaishi kwenye ndoa lakini afya yao ya ndoa siyo nzuri. Hivi nikiuliza vipi afya yako ya ndoa ndani ya miaka 10 au mitano iliyopita utasemaje? Ndoa ni biashara kama zilivyo biashara nyingine kwa sababu kwenye biashara, ikiwa biashara haina mzunguko mzuri yaani afya yake haiko vizuri ni rahisi kuanguka. Kuna vitu vidogo vidogo tu …
Kabla Hujampenda Mtu Yeyote Mpende Kwanza Huyu
Jipende kwanza wewe mwenyewe. Mtu anayefanya vizuri kwenye eneo lolote lile ni yule ambaye anaanza kujipenda yeye mwenyewe kwanza. Unapojipenda wewe mwenyewe kwanza, itakulazimisha hata wale waliokuzunguka wawe bora na wajipende wao wenyewe. Kwa sababu, hatuwezi kuwabadilisha watu wawe vile tunavyotaka sisi pasipo sisi kuwaonesha kwa vitendo. Hatuwezi kuwapenda wengine kama sisi wenyewe hatujipendi. Falsafa …
Continue reading “Kabla Hujampenda Mtu Yeyote Mpende Kwanza Huyu”
Ukitaka Kuharibu Mahusiano Yako Kuwa Mtu Wa Hivi
Kuna baadhi ya changamoto kwenye mahusiano huwa tunazinunua sisi wenyewe kwa kujitakia. Sisi binadamu ni viumbe vya hisia, hivyo unapokuwa katika mahusiano na watu wengine jitahidi sana kuangalia hisia za watu. Watu wanafanya maamuzi yao kwa hisia, na siyo kwa fikra. Ukitaka kuharibu mahusiano yako na watu wengine kuwa mkosoaji. Hakuna mtu anayependa kukosolewa. Ukitaka …
Continue reading “Ukitaka Kuharibu Mahusiano Yako Kuwa Mtu Wa Hivi”
Kitu Ambacho Huwezi Kukibadilisha Kwenye Mahusiano
Kuna wakati huwa tunaumia kwenye mahusiano yetu kwa sababu ya kujitakia wenyewe. Kwenye mahusiano, watu wengi wanapenda kuwa viranja wa kuwatawala wengine, yaani wanataka watu wengine waishi kama vile wanavyotaka wao. Kitu ambacho huwezi kukibadilisha kwenye mahusiano ni kumbadilisha mtu kuwa kama vile unavyotaka wewe. Ni kazi kubwa sana, pata picha mtu amekulia malezi tofauti, …
Continue reading “Kitu Ambacho Huwezi Kukibadilisha Kwenye Mahusiano”
Zawadi Bora Ya kumpatia Mtu Kwenye Mawasiliano
Ni mrejesho. Siku hizi watu wamekuwa bize kiasi kwamba hata ukiwatumia ujumbe wanashindwa kujibu. Ukiwatumia watu ujumbe wa meseji za kawaida ndiyo hawajibu kabisa angalau kwenye mitandao ya kijamii. Katika kujenga mahusiano imara hii siyo kitu kizuri. Kwa kuwa mawasiliano ni mrejesho, pale mtu anapokutumia ujumbe au kupokea kitu unapaswa kutoa mrejesho. Kama mtu alitumia …
Continue reading “Zawadi Bora Ya kumpatia Mtu Kwenye Mawasiliano”