Kila mmoja wetu huwa anasali kadiri ya imani yake. Watu wengi wanasali lakini hawapati kile wanachoomba je, umeshawahi kujiuliza ni kwa nini? Ni kwa sababu hawasali ipasavyo. Nikirejea katika kitabu cha Yakobo, kinasema haya “mnaomba hampati kwa sababu mnaomba kwa nia mbaya, mnaomba ili mpate kutosheleza tamaa zenu” Nina ungana mkono na Yakobo. Wengine wanaomba …
Continue reading “Hii Ndiyo Sababu Kwa nini Unasali Halafu Hupati Kile Unachoomba?”