Mpendwa rafiki yangu, Siyo kila kitu unapaswa kumwambia mtu, siyo lazima kila mtu ajue undani wa maisha yako. Pale watu wanapokuwa wanakuja undani wako ni rahisi kufanya kile wanachotaka kadiri ya taarifa ulizo nazo. Mambo matatu ambayo ni siri yako tu na hupaswi kuwaambia watu ni kama yafuatavyo; Kipato chako; usiwaambie watu juu ya kipato …
Continue reading "Haya Ndiyo Mambo Matatu Ambayo Hupaswi Kuwaambia Watu Wa Nje"