Wazazi wa siku hizi wanawalea watoto utafikiri wamepata mkataba wa kuishi nao milele. Wazazi hawataki kuwafundisha watoto kukosa. Mtoto akitaka kile anachotaka anapewa mara moja. Hii inamfanya mtoto kuja kuteseka baadaye anapokuja kuingia kwenye uhalisia wa mambo. Watoto wanaharibiwa kwa kukosa adhabu kuliko kuharibiwa na adhabu. Kumekuwa na harakati nyingi za kufuta adhabu kwa watoto …
Continue reading “Adhabu Zinawasaidia Watoto Kuelewa Uhalisia Wa Dunia”