Ni kauli ya sheria ambayo inatumika karibu kwenye kila eneo la maisha yetu. Usipofanya kitu kwa sababu hujui usifikiri asili itakuacha salama. Lazima itakupa adhabu ya kutokujua kwako, kwa mfano, unavunja sheria kwa sababu ya ujinga wa kutokujua sheria, usifikiri kutokujua kwako kunaweza kukusaidia, hapana. Angalia sheria za asili zinavyofanya kazi. Watu hawajui misingi ya …
Continue reading "Kutokujua Sheria Siyo Kigezo Cha Kusamehewa Kosa Lako"