Rafiki yangu, Kuna vitu kwenye maisha huwa vinaonekana ni vya kawaida, kwamba kila mtu anajua ndivyo inavyopaswa kuwa, lakini unapochunguza vizuri kwa ndani, unagundua siyo vya kawaida kama wengi wanavyofikiri. Vitu vingi ambavyo watu wamezoea kufanya siyo sahihi. Ni rahisi kukubali kufanya kitu kwa sababu kila mtu anafanya na kuona kwa kuwa wengi wanafanya basi …
Continue reading "Vitu Vingi Ambavyo Watu Wamezoea Kufanya Siyo Sahihi"