Kama tunavyojua mteja ndiyo mfalme kwenye biashara yoyote ile. Siyo tu ni mfalme bali pia mteja ndiyo bosi. Mteja anaweza kukufukuza kazi hata kama biashara ni yako. Unaweza kujiuliza biashara ni yangu iweje mteja anifukuze? Akiacha kununua kwako na akiwaambia na mwenzake mpaka hapo anakuwa ameshakuharibia biashara yako. Na unapaswa kujua kwamba, mteja huwa hakosei …
Njia Bora Ya Kutawala Soko Kwenye Biashara
Huwezi kuingia kwenye ushindani wa kutawala soko kama huna bidhaa bora. Kumbe basi, njia bora kabisa ya kutawala soko ni kuwa na bidhaa bora. Lakini pia, haitoshi kuwa na bidhaa bora pekee yake. Kama ingekuwa ni bidhaa bora peke yake basi watu wengi sana wangeuza. Ukishakuwa na bidhaa bora, unachotakiwa kufanya ni kupambana na vitu …
Continue reading "Njia Bora Ya Kutawala Soko Kwenye Biashara"
Utajisikiaje Kama Watu Wakikukuta Unafanya Kitu Hiki Kabla Ya Kifo Chako
Pata picha unafanya kile unachofanya na hapo hapo unapoteza maisha yako yaani mwili na roho yako vinakuwa vimetengana. Je, utakua tayari watu washuhudie au wajue kile ulichokuwa unafanya na wakitangaze kwa watu? Kama unatumia muda vizuri katika kufanya mema na mambo sahihi utakua huru dunia kujua kile ulichokuwa unafanya kwa sababu ni kitu sahihi. Lakini, …
Continue reading "Utajisikiaje Kama Watu Wakikukuta Unafanya Kitu Hiki Kabla Ya Kifo Chako"
Binadamu Hawaangamii Kwa Kukosa Maarifa Bali Anaangamia Kwa Kukosa Hiki Hapa
Jana nilikuwa mahali napata huduma, nikasikiliza kipindi cha radio ambacho kilikuwa kipo hewani. Wakati napata huduma, kipindi kilishika umakini wangu kwa sababu walikuwa wanaongelea mambo muhimu. Mtangazaji wa radio Kicheko alikuwa anamhoji mtaalamu wa mazingira ambaye Pd. Msafiri wa Jimbo la Moshi. Mtaalamu huyo wa mazingira alitoa umuhimu wa kila mmoja wetu kutunza mazingira na …
Continue reading "Binadamu Hawaangamii Kwa Kukosa Maarifa Bali Anaangamia Kwa Kukosa Hiki Hapa"
Hakuna Mtu Aliyeshindwa Kama Anafurahia Kitu Hiki
William Feather aliwahi kunukuliwa akisema, hakuna mtu aliyeshindwa kama anayafurahia maisha yake. Kipimo pekee cha mafanikio kwako ni kwa namna unavyoyafurahia maisha yako. Je, unayafurahia maisha yako? Na utayafurahia maisha yako pale tu utakapokuwa unafanya yale ambayo ni muhimu zaidi kwako. Pale utakapojua nini unataka na maisha yako na kisha kuweka mikakati ya kufikia kile …
Continue reading "Hakuna Mtu Aliyeshindwa Kama Anafurahia Kitu Hiki"
Vitu Viwili Pekee Muhimu Kwenye Biashara
Kuna vitu viwili muhimu kwenye biashara sina uhakika kama itakufaa lakini ukivijua vitakusaidia kufikia mafanikio makubwa kwenye biashara yako. Moja ni jinsi gani ya kupata wateja. Biashara yako haiwezi kupata wateja kama hujaifanyia masoko. Masoko ni kuifanya biashara yako ijulikane, kama hujawaambia watu unauza nini watu siyo malaika kuweza kubashiri kile unachouza. Pambana sana ili …
Usiogope Kukosea Pale Unapochagua Kufanya Kitu Hiki
Usiogope kukosea pale unapochagua kufanya maamuzi. Ni bora ufanye maamuzi ukosee kuliko kutokufanya maamuzi. Kwa sababu utarekebisha makosa yako kuliko kutokufanya maamuzi kabisa. Sijui kwa nini watu wanaogopa kufanya maamuzi, usipofanya maamuzi maana utaendelea kubaki na kile unachokiamini lakini ukifanya maamuzi itakusaidia kupata kitu kipya. Maamuzi ndiyo yanaleta mafanikio makubwa kwenye kila eneo la maisha …
Continue reading "Usiogope Kukosea Pale Unapochagua Kufanya Kitu Hiki"
Agiza Tukuletee
Maisha yamebadilika, zama zimebadilika na watu wamekuwa na mambo mengi huku muda ukiwa mchache sana ukilinganisha na mambo wanayotakiwa kufanya. Ili ufanikiwe kwenye mauzo unatakiwa kupiga pale kwenye maumivu. Huwezi kuuza kama unapiga kwenye uimara wa mtu bali utaweza kuuza kama ukipiga kwenye udhaifu wa mtu. Ili upate ushindi wowote ule, usikimbilie kwenye uimara wa …
Kushindwa Kwenye Maisha Yako Kuna Anzia Hapa
Kushindwa kwenye maisha yako kuna anzia pale unapoipoteza siku yako moja. Kwa sababu, mafanikio ni mkusanyiko wa siku nyingi unazoishi kimafanikio kila siku. Jim Rhon anasema siku ni ghali sana na unapotumia siku moja maana yake umepunguza siku kwenye maisha yako. Maisha ndiyo haya haya, ukitumia muda wako vizuri inakuwa ni faida kwako na ukitumia …
Continue reading "Kushindwa Kwenye Maisha Yako Kuna Anzia Hapa"
Hiki Ndiyo Kinaathiri Maisha Yako
Dunia inatufundisha vitu vingi, kwa kuona, kusikia na kwa kufanya. Asili huwa inatufundisha vitu vingi sana katika maisha lakini changamoto kubwa ya watu wengi hawajui namna ya kukielewa kile ambacho asili huwa inawafundisha. Ruben Gonzalez aliwahi kunukuliwa akisema, kinachoathiri maisha yako siyo kinachotokea, bali jinsi unavyopokea na kufanyia kazi kinachotokea. Nakubaliana na Ruben Gonzalez kwa …