Imani ulizonazo, zinachangia sana kwenye matatizo na changamoto unazokutana nazo. Na ubaya wa imani ni kwamba, mtu unaweza hata usijue kama ni imani iliyopo ndani yako hasa kama ni kitu ambacho umezoea kukifanya. Unahitaji kubadili imani yako juu yako mwenyewe na kile unachokutana nacho. Inawezekana kabisa imani uliyonayo ndiyo inakufanya uende mbele au urudi nyuma. …
Continue reading "Imani Ulizonazo Zinachangia Sana Wewe Kuwa Hivyo Ulivyo"