Tunaishi kwenye zama ambazo kila mtu yuko 'bize" na mambo ya kufanya ni mengi kuliko muda tulionao. Tukisema tufanye kila kitu, hatutakuwa na muda wa kufanya lakini tunao muda wa mchache wa kufanya yale muhimu tu na siyo kila kitu. Mwanafalsafa Seneca aliwahi kunukuliwa akisema, “Siyo kwamba hatuna muda, bali tuna muda mwingi mpaka tunaupoteza …
Continue reading "Acha Kauli Hii Inayokufunga Kupata Muda Zaidi"