Msingi Bora Wa Maisha Na Mafanikio

Msingi bora wa maisha na mafanikio ni USIFANYE KITU UNACHOKICHUKIA. Watu ambao wanafanya vitu wasivyovipenda huwa hawafanikiwi, wanaishia kuwa na maisha ya kulalamika na manung'uniko. Baraka haiwezi kuja kwa njia ya manung'uniko hata siku moja. Baraka inakuja pale unapokuwa unajisikia furaha unapotoa mchango wako kwa wengine. Kwa sababu baraka inakuja kwa kufanya kitu na ukifanya …

Kitu Kimoja Muhimu Sana Cha Kujifunza Kuhusu Mauzo Kutoka Kwa Aliyekuwa Muuzaji Bora Wa Magari Duniani

Joe Girard alikuwa ni muuzaji bora wa magari na alifanikiwa kuingia kwenye kitabu cha maajabu ya dunia GUINESS kwa sababu ya kuuza sana. Ni muuzaji ambaye hajawahi kutokea duniani, na kwa kuwa maisha ya binadamu ni mauzo nasi pia tunatakiwa kujifunza mbinu za mauzo. Kila mtu ni muuzaji, kila mtu ana kitu anauza. Kwenye kitabu …

Kama Hupati Matokeo Kuna Kitu Hukifanyi

Hakuna watu ambao wana maigizo mengi kama binadamu. Ni wazuri wa kutengeneza sababu za kile ambacho wao wanaona zitawalinda. Na kama mtu kitu ana kitaka kweli atakifanya na matokeo yataonekana. Na kama mtu kitu hakitaki hatokifanya na ataanza kutafuta sababu. Maisha ni kuuza kile unachokiamini, sasa kama wewe unajidanganya kwa sababu unafikiri utapata matokeo gani? …

Umejitoa Kwa Lipi Haswa?

Utaishia kupata matokeo ya kawaida kama hujajitoa haswa kupata kile unachotaka. Binadamu ni watu wazuri sana kufanya pale wanapokuwa wanasimamiwa au wanapokuwa wamepewa namba au lengo la kufanyia kazi. Unaweza ukajiona umefikia ukomo na ukaweka nukta lakini nakuhakikishia ukiweza kujisukuma na ukapata mtu anayekusimamia utashangaa pale ulipoweka nukta panabadilika na kuwa mkato. Usiishi bila kuwa …

Usifanye Chochote Kwa Sababu Unataka Kuwafurahisha Watu

Kwa chochote unachofanya kwenye maisha yako ni kawaida kukutana na makundi ya aina tatu ya watu. Wapo ambao watakubaliana na wewe.Wapo ambao watapingana na wewe.Na wapo ambao hawatajali hata unafanya nini. Kwenye maisha usifanye kitu kwa kutaka uwafurahishe watu, hiyo ni kazi ngumu ambayo hutakuja kuimaliza kamwe. Kama kuna chochote unataka kukifanya kwenye maisha yako, …

Ukiwa Huna Kitu Hiki, Usifungue Biashara

Methali ya wachina inasema, kama huna tabasamu, usifungue biashara. Unapokuwa kwenye kile unachofanya kifanye huku ukiwa una tabasamu. Kwa kuvaa uso wa tabasamu utawavutia watu wengi lakini ukiwa na kisirani hutawavutia watu wengi. Hakuna mtu anayependa kusikia matatizo yako. Watu wanapenda kukuona ukiwa unafanya kazi au biashara kwa tabasamu au furaha. Watu tayari wana matatizo …

Usioteshe Mahindi Yaliyokobolewa

Pata picha unaotesha mahindi yaliyokobolewa kwenye shamba lako unafikiri utapata mazao? Au kile unachopanda kitaota? Mahindi yaliyokobolewa kwa lugha rahisi ni yale mahindi yaliyotolewa kiini yaani kande. Natumaini kila mmoja wetu anajua mahindi ya makande ambayo huwa tunayatumia kwa ajili ya chakula. Wako watu ambao wanataka kuvuna lakini wanapanda au kuotesha mahindi yaliyokobolewa kwenye ardhi. …

Haimaanishi Kwamba Mambo Ni Magumu

Kwenye maisha, mambo kutokuwa rahisi kama unavyotaka wewe haimaanishi kwamba mambo ni magumu, bali ndivyo yalivyo. Kwa mfano, mtu asipopata mauzo yale aliyopanga basi anaahirisha na kusema mambo ni magumu kweli. Mambo yasipoenda vile unavyotaka wewe utaanza kulalamika na kuona kama una kisirani au huna bahati. Wewe siyo kiranja wa dunia wa kutaka mambo yaende …

Hii Ndiyo Biashara Inayofanikiwa

Watu wengi wanajua kwamba, biashara inayofanikiwa ni ile ambayo inakuwa bora. Lakini, biashara inayofanikiwa siyo ile inayokuwa bora,Bali, ni ile inayokuwa ya kwanza kwenye akili za wateja. Kazi yako kubwa kwenye biashara yako, ni kuifanya biashara yako ifikiriwe na wateja kwenye akili zao. Mteja akishaifikiria biashara yako, pale anapokuwa anauhitaji wa kununua kitu, hana sehemu …

Ili Uweze Kufanikiwa Usizame Kwenye Haya Mambo Kabisa

Pata picha umewahi kukutana na mambo mabaya na katika maisha yako kiasi kwamba ukifikiria unazidi kuumia zaidi. Kuna watu walikunyanyasa, kukutesa, kukudhulumu na kukuumiza sana kwenye maisha yako. Hata ukikumbuka yaliyopita hayataweza kukusaidia kitu, upo hapo ulipo sasa unachagua nini? Unachagua kuendelea kuzama kwenye yaliyopita au kuangalia wapi unakokwenda? Shabaha yangu kubwa leo ni kukutaka …

Design a site like this with WordPress.com
Get started