Unaweza kupata chochote kile unachotaka kwenye maisha yako, kama utaweza kuuza zaidi. Ni kweli hilo halina ubishi, mauzo ndiyo kila kitu kwenye biashara na maisha kiujumla. Mauzo ndiyo moyo wa biashara, ambapo yanasukuma damu ya biashara ambayo ni fedha. Bila mauzo hakuna fedha kwenye biashara, na bila fedha hakuna biashara. Unaona hapo mauzo yalivyokuwa muhimu? …
Continue reading "Kosa Ambalo Wauzaji Wengi Huwa Wanalifanya Kwenye Biashara"