Leo asubuhi katika kipindi cha Billionaires in training, nimejifunza kitu kimoja kwamba watu wengi hawafanikiwi kwa sababu ya kukosa ustaarabu wa hali juu. Ni watu wachache sana katika jamii yetu ambayo wana ustaarabu wa hali ya juu, watu wamezoea kufanya kitu mpaka waambie kufanya. Ni kitu cha ajabu sana kwamba mtu anajua wajibu wake lakini …
Continue reading "Watu Wengi Wamekosa Kitu Hiki Kwenye Maisha Yao"