Watu Wengi Wamekosa Kitu Hiki Kwenye Maisha Yao

Leo asubuhi katika kipindi cha Billionaires in training, nimejifunza kitu kimoja kwamba watu wengi hawafanikiwi kwa sababu ya kukosa ustaarabu wa hali juu. Ni watu wachache sana katika jamii yetu ambayo wana ustaarabu wa hali ya juu, watu wamezoea kufanya kitu mpaka waambie kufanya. Ni kitu cha ajabu sana kwamba mtu anajua wajibu wake lakini …

Anzia Mahali Fulani

Kwenye maisha ili upate uzoefu wa kitu chochote kile, unapaswa kuanzia mahali fulani ili upate uzoefu. Ukienda sehemu wanakuhitaji utoe uzoefu wako juu ya kile unachofanya, hutakiwi kubaki unatoa macho tu, bali unatoa uzoefu wako kwa kile ulichowahi kufanya. Maisha siyo visingizio visivyokuwa na maana, bali ni kuonesha matokeo ya kile unachofanya au ulichofanya. Ili …

Unafikiri Ni Nini Kinakuzuia Usifanikiwe?

Watu wengi wamekuwa wanafikiri kwamba kinachowazuia kufanikiwa ni vile walivyo. Lakini, ukweli ni kwamba, kinachokuzuia wewe usifanikiwe ni kile ambacho unajaribu kukikimbia.Kile ambacho unafikiria siyo ndicho kinachochukua muda na nguvu zako nyingi na kukuzuia kufanikiwa. Unachotakiwa kufanya ni, kujijua wewe ni nani, na unataka nini, kisha ukafanya maamuzi sahihi ya kuendesha maisha yako kwa kufanyia …

Sanaa Iliyosaulika Lakini Yenye Nguvu Kubwa

Kusikiliza kwa makini ni Sanaa Iliyosaulika lakini yenye nguvu kubwa sana ya ushawishi. Ndiyo maana una mdomo mmoja na masikio mawili, kwamba unapaswa kusikiliza zaidi kuliko kuongea. Watu wengi huwa ni waongeaji sana na kitu kinachowazuia wasiweze kuwajua wengine na kuwashawishi. Kwenye kitabu cha How I Raised Myself From Failure to Success in Selling, mwandishi …

Ukiwa Na Hali Hizi, Epuka Kufanya Maamuzi

Kwenye kitabu cha the Baron letters kilichoandikwa na mwandishi Gary Halbart,  anamshirikisha  mtoto  wake  makosa  ambayo  amewahi kuyafanya kwenye  maisha  yake,  na  mengi aligundua  aliyafanya  akiwa  kwenye  moja  ya  hali  hizi nne.  Hivyo  anamwambia  mtoto  wake  asifanye  maamuzi  yoyote anapojikuta  kwenye moja  ya  hali  hizo  nne; Moja; hasira. Usifanye maamuzi ukiwa kwenye hasira, jisubirishe kufanya …

Inafanya Kazi Kwenye Kila Eneo La Maisha Yako

Kanuni kuu kwenye mauzo ni kwamba, ukijua kitu ambacho watu wanataka na ukawapa watakuwa tayari kukubaliana na wewe. Sheria hii siyo tu inafanya kazi kwenye mauzo, bali inafanya kazi kwenye kila eneo la maisha. Kwa kifupi rafiki yangu, tunaweza kusema ndiyo sheria kuu ya mahusiano ya binadamu. Pale unapomwonyesha mtu kitu anachotaka, atakuwa tayari kufanya …

Unaweza Kuwadanganya Mashabiki Lakini Siyo Watu Hawa

Biashara ni mchezo na wafanyakazi ndiyo wachezaji wenyewe. Na watu wa nje ni mashabiki tu. Sasa kama biashara ni mchezo, unaweza ukawadanganya mashabiki lakini huwezi Kuwadanganya wachezaji. Unaweza kuwadanganya mashabiki kuhusu mwenendo wa biashara yako, au familia yako, au kitu fulani kwa kuigiza kwamba mambo yanakwenda vizuri, lakini wale walio ndani wanajua kama mambo yanaenda …

Mabadiliko Yanaanzia Hapa

Katika familia, taasisi, kwenye biashara yako mabadiliko ya kweli kwenye jambo na eneo lolote lile huwa yanaanzia juu, yanaanzia kwenye uongozi na kisha yanasambaa kwa wengine. Samaki huwa anaanza kuozea kichwani, hii maana yake nini? Ukiona familia haiendi vizuri jua wazi wazazi ndiyo hawajasimama. Ukiona wafanyakazi wako wanaenda vizuri, jua uongozi wa juu UMESIMAMA. Wafanyakazi …

Jifunze Kwa Mtu Aliyepitia Magumu Na Akafanikiwa Ndoto Yake

Tabia huwa zinatengenezwa pale tunapopitia magumu. Katika magumu, ndiyo watu huwa wanatumia uwezo wao mkubwa uliopo ndani yao. Na uzuri ni kwamba hakuna mtu ambaye hana changamoto yaani yeye nyumbani kwake amebandika bango mlangoni kwamba hapa hakuna matatizo. Ulishawahi kuona nyumba ya namna hiyo? Kama hujawahi kuona, jua kwamba kila binadamu anapitia magumu yake. Leo …

Jinsi Ya Kuongeza Kiwango Chako Cha Utambuzi

Je, unajua kiwango chako cha utambuzi? Kabla hujaongeza kiwango chako cha utambuzi, unapaswa kwanza kujua au kupima kiwango chako cha utambuzi kikoje. Njia ya kupima kiwango chako cha utambuzi ni kwenye kujua majira ya siku.Hapo inakuwaje sasa?Ni rahisi sana, kwa mfano, bila ya kuangalia saa, sema muda ni saa ngapi yaani sema saa na dakika. …

Design a site like this with WordPress.com
Get started