Binadamu wote tuna asili ya uvivu na uzembe. Ili maisha yako yaende vizuri lazima kwanza uzikatae dhambi hizi mbili ambazo ni uzembe na uvivu. Unakuta mtu analalamika hana fedha, mauzo ni madogo kwenye biashara, mshahara ni mdogo lakini hachukui hatua yoyote itakayomwezesha kuwa bora. Kwa wale ambao ni wauzaji, najua hata wewe ni muuzaji kwa …
Njia Inayosababisha Watu Wengi Kutokuchukua Hatua
Iko hivi rafiki yangu nikupendaye, Kadiri unavyotumia muda mwingi kufikiria na kutafakari jambo, ndivyo inavyokuwa vigumu kwako kuchukua hatua. Wewe angalia hata kwako mwenyewe, mambo mengi uliyochukua hatua haraka ndiyo yameleta matokeo lakini yale ambayo unafikiria hujafikia hata kuchukua hatua. Hivyo basi, jifunze kufikia maamuzi haraka, kisha ukishaamua, chukua hatua, usianze tena kufikiria na kutafakari. …
Continue reading "Njia Inayosababisha Watu Wengi Kutokuchukua Hatua"
Hiki Ndiyo Kinasababisha Ukomo Wa Kipato Chako
Kanuni ya mafanikio makubwa inasema hivi, kipato chako ni matokeo ya idadi ya watu unaowahudumia na kwa ubora kiasi gani unawahudumia. Kwa maneno mengine, kipato chako kinalingana na idadi ya maisha unayoyagusa. Hii ni kanuni nyingine muhimu sana kwenye mafanikio yako, kanuni ambayo inaondoa ukomo kwenye kipato chako na hata mafanikio yako. Unafikiri ni kwa …
Continue reading "Hiki Ndiyo Kinasababisha Ukomo Wa Kipato Chako"
Kama Unataka Matokeo, Fanya Kitu Hiki
Rafiki yangu nikupendaye, Kinachokukwamisha na kushindwa kupata matokeo unayotaka ni kwa sababu moja tu nayo ni sababu unazojipa. Kuna sababu nzuri unazojipa ambazo zinakufanya usichukue hatua. Pale unapokutana na changamoto mbalimbali unajipa sababu ambazo ambazo unaona ni za kweli na zinakufariji. Nikuambie kitu, sababu unazojipa hazitokusaidia kulipa bili wala kubadilisha maisha yako. Na kitakachokusaidia kupata …
Fanya Kilicho Sahihi, Lakini Usitegemee Hiki
Moja ya sababu zinazopelekea wengi kukosa furaha ni kufanya vitu ambavyo wanajua siyo sahihi. Kitu kingine ni watu kufanya kitu huku wakitegemea matokeo fulani yatokee.Kwa mfano, unachukua hatua, ukitegemea matokeo fulani ili uwe na furaha. Hii ni njia ya kujitengenezea kushindwa na kujinyima furaha. Cicero anasema furaha siyo kitu unachokipata kutokana na kupata vitu fulani …
Continue reading "Fanya Kilicho Sahihi, Lakini Usitegemee Hiki"
Uko Bize Siku Nzima, Umekamilisha Nini?
Kama huna kitu ambacho unajipima nacho kamwe huwezi kujua kama unaenda mbele au unarudi nyuma. Unaweza ukajikuta bize siku nzima au maisha yako yote lakini ukija kuangalia matokeo hakuna kitu. Changamoto kubwa ya watu kuwa bize ni kwa sababu hawana orodha ya mambo ya kufanya. Unachotakiwa kufanya, kila siku unapoamka kabla hujaanza siku yako weka …
Hatua Ya Kwanza Ya Mafanikio
Ni kuwa mkweli kwanza kwako mwenyewe. Kitu kikubwa kinachokuzuia usifanikiwe ni kujidanganya. Wewe mwenyewe unajua wazi kabisa unapaswa kufanya nini lakini unajidanganya kwa sababu nzuri. Katika maisha watu huwa wana sababu nzuri za kufanya kitu na sababu za kweli. Sababu nzuri ni zile za kujifariji kwa mfano, mtu anasema sijafanya kitu fulani kwa sababu nilikuwa …
Hiyo Hela Tuma Kwenye Namba Hii
Matapeli ni watu wazuri sana kwenye mauzo. Wanapotuma meseji kila siku kwa watu elfu moja wanajua wazi kabisa hawawezi kukosa wateja ambao wanaenda kutuma hela na wakafanikiwa kuwapata. Ndiyo maana watu wakipata ujumbe wa matapeli kwenye simu zao wengine huwa waingia laini, wananaswa. Kwa sababu gani? Wanajua ni kanuni ya asili kwamba, katika watu wengi …
Njia Za Kuongeza Thamani Ya Maisha Ya Wateja Wako
Wateja wako wanapokaa na wewe kwa muda mrefu ndivyo unavyonufaika zaidi. Ili ukae na mteja muda mrefu unatakiwa uendelee kumfuatilia mpaka pale atakapokufa. Na hata pale atakapokufa bado unaweza kuwafuatilia wale watu wake wa karibu na kuwafanya kuwa wateja wako. Unahitaji kuweka juhudi kuhakikisha wateja wanabaki na wewe muda mrefu. Yafuatayo ni mambo muhimu ya …
Continue reading "Njia Za Kuongeza Thamani Ya Maisha Ya Wateja Wako"
Acha Ujuaji
Watu wengi wanajikuta wao ni wajuaji lakini bado wanafanya ujinga. Ujinga ni kufanya kitu kile kile kwa mtindo ule ule halafu unategemea kupata matokeo tofauti. Watu wanajikuta wao ni wajuaji kwenye biashara, mahusiano, kazi na kadhalika. Wanajikuta wajuaji lakini bado hawana matokeo mazuri. Ujuaji una wamaliza watu wengi kwa kutokujisumbua kujifunza. Watu tayari wanajiona wanajua …