Habari mpendwa rafiki na msomaji wa mtandao wa Kessy Deo? Ni matumaini yangu kuwa hujambo na unaendelea vizuri rafiki na kama hauko vizuri siku hii ya leo basi, pole sana rafiki. Kwahiyo, mpendwa rafiki napenda kutumia nafasi hii kukualika tena katika makala yetu ya leo tuweze kujifunza kwa pamoja. Leo tutakwenda kujifunza somo linalosema hii …
Continue reading "Hii Ndiyo Kazi Inayolipa Kwa Sasa Kuliko Kazi Nyingine Zote"