Mpendwa rafiki, Hongera sana kwa kuwa na mwisho mzuri wa juma hili la sita. Natumaini yapo mengi uliyofanya na umepigwa hatua ukilinganisha na juma lililopita. Kama kila juma hupigi hatua maana yake unarudi nyuma. Kumbuka maisha yana kwenda mbele na siyo kurudi nyuma. Katika kujitafari juma hili la sita nimejifunza mengi na sasa nakualika na …
Continue reading "TAFAKARI YA JUMA LA 6 NA MAMBO KUMI NA MOJA NILIYOJIFUNZA"