Fedha ni jawabu la mambo yote. Fedha ni muhimu kweli na kila mtu ana lijua hilo. Hata kukusoma hapa umetumia fedha ingekuwa huna fedha usingeweza kuingia kwenye mtandao huu. Watu wengi wamekuwa na unafiki sana kwenye suala la fedha. Unafiki wenyewe uko pale ambao watu wanajifanya hawataki fedha au mali au utajiri kumbe wanahitaji na …
Vitu Vyote Tunavyovitafuta Tunasukumwa Na Vitu Hivi Viwili
Jinsi unavyoyaona maisha ya binadamu yalivyo mchakamchaka kila siku. Tunapambana huku na huko ili kupata mafanikio tunayotaka lakini kuna vitu viwili vinavyotusukuma kila siku. Kila binadamu anasukumwa na vitu hivi viwili kwenye maisha yake ya kila siku. Vitu venyewe ni; Kupata kile tunachotaka (furaha). Kila mmoja wetu anasukumwa kila siku ili kuweza kupata kile anachotaka …
Continue reading "Vitu Vyote Tunavyovitafuta Tunasukumwa Na Vitu Hivi Viwili"
Hii Ndiyo Aina Ya Upendo Ambao Wazazi Wanapaswa Kuonesha Kwa Watoto Wao
Ukienda dukani kununua simu, pasi, TV unanunua kile kitu ukiwa umepewa namna ya kukitumia kile kitu,ndani ya bidhaa utakuta kuna karatasi ya maelekezo. Hivyo basi, mtoto anapozaliwa hospitali hakuna kitabu cha maelekezo ambacho utapewa namna ya kumlea mtoto. Wengi wanajikuta wanawalea watoto kadiri ya wao walivyolelewa. Watoto mara nyingi wanapenda kujifunza kutoka kwa wazazi wao …
Continue reading "Hii Ndiyo Aina Ya Upendo Ambao Wazazi Wanapaswa Kuonesha Kwa Watoto Wao"
Hakuna Kazi Ngumu Kama Hii
Sijawahi kusikia mtu amekufa kwa sababu ya kazi. Ila uvivu wa watu ndiyo unawafanya watu kuona kazi ni ngumu. Lakini hakuna kazi bila kazi. Kila kitu kinahitaji kazi ili uweze kuona matokeo yake. Kwa wajapani, kuifia kazini ni ushujaa mkubwa lakini kwa jamii yetu wengi kazi wanaona kama vile ni adhabu lakini kwa wenzetu kuifia …
Jinsi Ya Kuanza Siku Yako Ukiwa Na Fikra Nyingi Za Kifedha
Mpendwa rafiki yangu, Kila siku dunia inabadilika, hivyo usipokuwa ni mtu wa kubadilika na wewe lazima utaanguka vibaya. Uchumi unabadilika hata asili siku hizi ibadilika, watu waliokuwa wanategemea mvua ili wa lime lakini mwaka mambo yamekwenda tofauti. Kwahiyo, tuwe tunajiandaa na chochote kinaweza kutokea hakuna hali ya kudumu. Usiwe kama mti, kuwa mtu unayeweza kubadilika, …
Continue reading "Jinsi Ya Kuanza Siku Yako Ukiwa Na Fikra Nyingi Za Kifedha"
Jinsi Ya Kuwasha Moto Wa Hamasa Ndani Yako
Watu wengi wanaamua kufanya kitu fulani kwa sababu ya hamasa. Hamasa iliyoko ndani yetu ndiyo inatusukuma kuthubutu jambo fulani. Mara nyingi pale tunapokuwa na hamasa ya kazi fulani tunakuwa kama vile tuna moto ndani yetu unaowaka na hatuwezi kuuzima kwa kuongea bali kwenda kufanya kile ambacho kipo ndani yetu. Na muda mzuri wa kufanikiwa jambo …
Continue reading "Jinsi Ya Kuwasha Moto Wa Hamasa Ndani Yako"
Kama Unataka Kuona Maisha Yako Ni Bora Fanya Kitu Hiki Kimoja
Rafiki, Kila mtu maisha yake ni bora kuliko ya mwingine kama kila mmoja wetu akiishi maisha yake. Maisha ya kujilinganisha na mwingine ni maisha ambayo hayana maana kuishi. Kujilinganisha na mwingine ni mwizi wa furaha yako. Ukitaka tu kujiona wewe uko tofauti na wengine anza kujilinganisha utatamani kuyakimbia maisha yako. Hakuna anayejilinganisha na mwingine halafu …
Continue reading "Kama Unataka Kuona Maisha Yako Ni Bora Fanya Kitu Hiki Kimoja"
Jiandae Kuwa Mbahili Katika Msimu Huu Wa Sikukuu
Rafiki yangu, Katika msimu wa sikukuu watu ndiyo wanaongoza sana kutumia hela, wako wanaoingiza sana na wako wanaotumia sana fedha. Huwa wengi wanaongozwa sana na hisia katika matumizi ya fedha. Usikubali kutumia hisia katika matumizi ya pesa katika msimu wa sikukuu. Ukiruhusu hisia zikutawale, utajikuta unanunua vitu ambavyo huna hata uhitaji nao, sijakuambia usinunue kitu …
Continue reading "Jiandae Kuwa Mbahili Katika Msimu Huu Wa Sikukuu"
Haya Ndiyo Maisha Ambayo Hayana Msingi Wa Kuishi
Rafiki, Usiishi tu kama mbuzi, bali ishi kama binadamu mwenye uwezo mkubwa wa akili. Ishi kwa malengo, unatakiwa kuwa na malengo ya siku, wiki, mwezi na hata mwaka. Usipokuwa na malengo ya kitu chochote utapoteza siku, muda bila kujua hata muda na siku zimeishaje. Wengi hawajiongozi kwa ratiba tokea wanapoamka asubuhi na mapema bali wanaongozwa …
Continue reading "Haya Ndiyo Maisha Ambayo Hayana Msingi Wa Kuishi"
Hiki Ndiyo Kitu Ambacho Hakifichiki Katika Utendaji Wa Kazi
Rafiki yangu mpendwa, Kazi ni asili ya kila mwanadamu hapa duniani. Ukikataa kufanya kazi maana yake umechagua kuwa mtu wa hovyo. Mtu asiyetaka kufanya kazi ni wa hovyo maana hatapendwa na yeyote, kila mtu atamkwepa maana ni mzigo. Amka asubuhi na nenda kafanye kazi, ipende kazi na jua kabisa kazi ndiyo rafiki yako kwa sababu …
Continue reading "Hiki Ndiyo Kitu Ambacho Hakifichiki Katika Utendaji Wa Kazi"