Watu wamekuwa ni watu wa kushikilia maadili ambayo hayana maana. Tunashikilia maadili hata kama si sahihi kwa sababu ya nidhamu ya uoga. Katika kuendesha dunia kwa usawa tunatakiwa kuangalia kuongozwa na akili kuliko hisia na tuwe huru kubadilisha chochote kile katika maisha yetu pale tunapoona kitu hiki siyo sawa hata ndiyo utaratibu ulioweka. Watu wenyewe …
Continue reading "Hii Ndiyo Maana Halisi Ya Maadili Hapa Duniani"