Mpendwa rafiki yangu, Kama umeamka na hujui unakwenda kufanya nini ni bora urudi ukalale, kabla ya kulala unatakiwa ujue kabisa kitu chako cha kwanza kufanya ni nini baada tu ya kuamka. Kutokujua nini unakwenda kufanya siku inayofuata ni rahisi sana kupoteza siku yako. Jinsi ilivyo rahisi kupoteza siku yako ndivyo ilivyo hata katika ndoto ya …
Continue reading "Falsafa Ya Kwanza Ya Kuwa Nayo Kabla Hujaanza Safari Ya Mafanikio"