Huyu Ndiyo Mtu Wa Kumheshimu Sana Katika Kazi Au Biashara Yako

Habari njema ni kwamba kila kitu ni biashara hapa duniani. Hata kama umeajiriwa ni aina ya biashara ambayo wewe uko pale kuuza muda na ujuzi wako. Tunatakiwa tusifanye mambo kimazoea, kama wewe umeajiriwa basi mteja wako wa kwanza ndiyo bosi wako. Unatakiwa ufanye kitu cha ziada ili umfurahishe mteja wako na hapa ndiyo ubora wa …

Hiki Ndiyo Kitu Unachotakiwa Kumfanyia Mwenza Wako Wa Ndoa

Rafiki, ‘’Niliwahi kumuona mwanaume mmoja anamfungulia mlango wa gari mke wake. Nililiona hilo kuwa ni tendo la heshima na nilimsifia mwanaume huyo mbele ya mke wake kwa kumpa heshima hiyo mke wake. Mke wake aliniambia kuwa hapo hamna heshima ila mlango wa gari umeharibika unafunguliwa kwa nje.’’ Kupitia mfano huo hapo juu, tunajifunza kuwa; usingoje …

Hii Ndiyo Falsafa Itakayokupa Nguvu Ya Kupambana Na Maisha Yako

Hakuna kitu chochote ambacho unaweza kukipata kwenye maisha yako ambacho hakitoki kwa wengine. Kila mmoja wetu anamtegemea mwingine kupata kile anachotaka kwenye maisha yake. Hata kama wewe unauza kitu lazima utamtafuta mtu wa kumuuzia kile unachotaka kumuuzia. Licha ya ukweli huo hapo juu, leo nataka kukufundisha falsafa ngumu kidogo itakayokwenda kukupa nguvu ya kupambana na …

Hivi Ndivyo Maisha Yako Yanapofikia Mwisho

Mtu mmoja aliwahi kusema, mwisho wa sura si mwisho wa kitabu. Fungua ukurasa mwingine. Kumbe basi, unaweza ukaona kama umefika mwisho wa maisha kwa sababu labda hujaamua kuendelea na kufungua sura nyingine. Kitabu kina sura nyingi, ya nini kung’ang’ania sura moja? Hata katika maisha yako mengi ya kufanya ambayo yataweza kukuletea mafanikio makubwa sana shida …

Huyu Ndiyo Mlinzi Mzuri Kwenye Karne Ya Ishirini Na Moja (21)

Mpendwa rafiki yangu, Ni kawaida kwa binadamu kupenda kuwa salama. Tunapokuwa na hatari basi miili yetu au ubongo unazalisha msongo unasababisha mpaka mtu kurudi sehemu salama.  Mfano mzuri unapokuwa una njaa mwili unakupa taarifa kuwa una njaa na akili yako haitofikiria kitu kingine zaidi ya chakula. Mlinzi mzuri kwenye karne hii ya ishirini na moja …

Ili Nidhamu Yako Iwe Vizuri, Hakikisha Unakuwa Na Kitu Hiki

Mpendwa rafiki yangu, Kwa lugha rahisi tu, hakuna mafanikio yoyote bila nidhamu. Kila unayemwona amefanikiwa jua kabisa nidhamu ndiyo limetumika kama daraja la mafanikio. Nidhamu ndiyo mama wa mafanikio karibu kila eneo la maisha yetu. Hebu niambie tu, kama ingekuwa huna nidhamu ungekuwa wapi leo? Hongera sana kwa kuwa na nidhamu ya kusoma hapa katika …

Jinsi Shida Inavyoweza Kukufanya Upate Akili

Aliyekuwa waziri mkuu wa uingereza Winston Churchil aliwahi kusema mtazamo ni jambo dogo sana linaloweza kuleta tofauti kubwa. Kwa kauli hiyo basi, tunaweza kusema kuwa matatizo siyo tatizo bali mtazamo wako ulionao juu ya matatizo. Kwa sababu matatizo ndiyo huwainua watu na kuwafanya wanajua hata thamani yao ya ndani iliyolala. Shida inaweza kukufanya upate akili …

Jinsi Ya Kujijengea Tabia Bora

Kila mtu anapenda kuwa na tabia bora tatizo ni namna ya kujenga tabia hiyo. Asilimia kubwa ya vitu tunavyofanya kila siku ni tabia zetu tulizojijengea. Tabia ndiyo inakuwa imetawala sehemu kubwa ya maisha yetu kila siku. Sasa unawezaje kujijengea tabia bora? Ni rahisi sana, kama unataka kujijengea tabia bora juu ya kitu fulani basi fanya …

Haya Ndiyo Mafanikio Makubwa Unayopaswa Kuwa Nayo

Kila mtu anapenda kufanikiwa na kuhusiana na mafanikio kila mtu anaelewa vile anavyotaka yeye kuelewa. Kuna mwandishi mmoja katika kitabu chake aliandika nani atalia pale utakapokuwa umekufa? Hebu jiulize nani atalia? Ili watu waweze kukulilia unatakiwa ufanye makubwa na mpaka unaona watu wakulilie waache shughuli zao za kila siku na kukulilia wewe ni mpaka uguse …

Kitu Pekee Kitakachokutoa Hapo Ulipo

Duniani hakuna mtu masikini bali kuna akili masikini. Ukishakuwa na akili masikini lazima utakua na maisha ya shida kila siku kwa sababu akili ndiyo kitu pekee kinachokuwezesha wewe kufanya maamuzi. Sasa kama akili imelala, ni ngumu kufanya maamuzi sahihi. Ni kitu kidogo sana kitakachokusaidia wewe kutoka hapo ulipo au kubaki hapo hapo ulipo. Kushindwa au …

Design a site like this with WordPress.com
Get started