Mwanafalsafa mmoja aliwahi kusema kuwa, ukitaka kujua kama mtu ni msafi basi mwangalie kucha zake. Hebu ziangalie kucha zako zikoje?Chafu au safi? Kucha huwa zinabeba uchafu mwingi. Unaweza kuwa msafi wa mwili, mavazi lakini kucha zako ni chafu. Kucha zikiwa ndefu huwa zinakusanya uchafu. Ni rahisi kujiona wewe ni msafi na wengine ni wachafu kama …
Continue reading “Ukitaka Kujua Mtu Ni Msafi Mwangalie Sehemu Hii”