Mwanamziki wa kimarekani Rick Ross kwenye moja ya wimbo wake mmoja anasema fedha nyingi, matatizo mengi, usiniite bosi yaani more money, more problem don't call me the boss. Mafanikio ya kifedha huwa yanakuja na matatizo makubwa ya kifedha pia. Siyo kwamba ukishakuwa na fedha nyingi ndiyo umeshayapatia maisha yako, yaani huhitaji tena kuhangaika hapana, siyo …
Continue reading "Mafanikio Mengi Ya Kifedha Huwa Yanakuja Na Hili Pia"