Hakuna anayeamka asubuhi na kupanga kuwa na siku ya hovyo. Kila mmoja wetu anapenda kuwa na siku bora na ndiyo lengo la kila m Ili uweze kuimiliki siku yako lazima uweke mipango ya kumiliki siku yako. Usipojiandaa kuimiliki siku utakuja kumilikiwa. Usipojiandaa kutawala, utatawaliwa. Usipojiandaa kushinda, utashindwa. Jiandae kupata kile unachotaka na siyo vinginevyo. Hapa …
Continue reading “Maswali Mawili Ya Kujiuliza Kila Siku Asubuhi Na Jioni”