Kwenye maisha yako unapaswa kuwa mtu imara. Usipokuwa imara utawaruhusu watu wengine wakutawale na huwezi kuwa huru kwenye maisha yako kama umetawaliwa na mtu fulani. Kwenye maisha yako usiwe mnyonge kabisa, jiamini, na simamia kile unachokiamini. Kama unaishi bila kuvunja sheria za asili, nchi na kanuni za maadili huna cha kuhofia. Bali ishi kwa uhuru …
Continue reading “Usikubali Anayekuonea Aendelee Na Uonevu Wake”