Huu Ndio Umuhimu Wa Kujenga Mahusaino Bora Katika Maisha Yetu

Habari ya wakati huu mpendwa rafiki na msomaji wa mtandao wa Kessy Deo? Ni matumaini yangu kuwa hujambo na unaendelea vizuri kuboresha maisha yako. Usikubali kufa na hazina ambayo bado iko ndani yako kuna watu wanahitaji kile ambacho unacho ndani yako. Huu ndio muda wa kutoa kile ambacho unacho kwa manufaa yako mwenyewe na manufaa …

Huyu Ndiye Chuma Ulete Anayewatesa Watu Wengi Katika Maswala Ya Kiuchumi

Habari ya wakati huu mpendwa rafiki na msomaji wa mtandao wa Kessy Deo? Ni matumaini yangu kuwa umeamka salama siku hii ya leo na uko vizuri kabisa kiafya kama hauko vizuri rafiki nakupa pole sana nakuombea kwa Mungu akupatie nafuu ya haraka. Hakuna utajiri mkubwa duniani kama utajiri wa kuwa na afya bora hivvyo tunaalikwa …

Hii Ndio Faida Ya Kuongea Falsafa Ya Ukweli Katika Maisha Yako

Habari ya wakati huu mpendwa rafiki na msomaji wa mtandao wa Kessy Deo? Natumaini hujambo na unaendelea vizuri kutimiza wajibu wako wa kila siku. Karibu rafiki katika makala yetu ya leo tuweze kujifunza kwa pamoja somo zuri nililoweza kukuandalia siku hii ya leo. Mpendwa msomaji, katika makala yetu ya leo tutaweza kuzungumzia faida ya kuongea …

Hii Ndio Njia Bora Ya Kuwaadhibu Waliotuudhi Na Kutuumiza Katika Maisha Yetu

Habari ya wakati huu mpendwa rafiki na msomaji wa mtandao wa Kessy Deo? Natumaini hujambo na unaendelea vizuri katika shughuli zako za kila siku. Mpendwa msoamji, napenda kutumia nafasi hii kukualika tena katika somo letu la leo tuweze kujifunza kwa pamoja. Katika makala yetu ya leo tutaweza kujifunza njia bora ya kuwaadhibu wale waliotuudhi na …

Hii Ndio Mbinu Bora Ya Kumsaidia Mtu Ambaye Hajui Kwenda Na Muda Kwenye Maisha Yake

Habari Mpendwa Rafiki na Msomaji wa mtandao wa Kessy Deo? Ni matumaini yangu uko salama na unaendelea vizuri kupambana na kuweka juhudi kwenye kile unachofanya. Ndugu msomaji, hongera kwa zawadi ya siku hii ya leo na itumie leo vizuri katika maisha yako kwani haitokuja kutokea tena katika maisha yako mpaka siku yako ya mwisho hapa …

Hawa Ndio Watu Wenye Sifa Bora Za Kuwa Walimu Katika Jamii Zetu

Habari za leo Mpendwa Rafiki na Msomaji wa mtandao wa Kessy Deo. Ni matumaini yangu uko vizuri na unaendelea kuboresha maisha yako katika kile kiwango unachotaka kuwa. Pia hongera sana rafiki kwa zawadi ya siku hii ya leo itumie vema siku hii ya leo kuleta matokeo chanya katika maisha yako. Leo ni mwisho wa juma …

Mambo Muhimu Niliyojifunza Katika Kitabu Cha Family First

Habari Mpendwa Rafiki na Msomaji wa Mtandao wa Kessy Deo. Natuamini unaendelea vizuri kuboresha maisha yako lakini pia kugusa maisha ya watu wengine. Mpendwa Msomaji napenda kukualika tena katika makala yetu ya leo tuweze kujifunza kwa pamoja. Katika makala yetu ya leo tutajifunza mambo muhimu niliyojifunza katika kitabu cha Family First. Kitabu cha Family First …

Haya Ndio Mambo Manne (04) Yanayokwenda Kinyume na Falsafa Ya Upendo Hapa Duniani

Habari Mpendwa Rafiki na Msomaji wa mtandao wa Kessy Deo. Natumaini uko salama na unaendelea vizuri. Mpendwa msomaji karibu katika makala yetu ya leo tuweze kujifunza kwa pamoja hivyo basi, nakualika tuweze kuanza kwa pamoja mwanzo mpaka mwisho wa kipindi hiki. Katika somo la leo tutajifunza mambo yanayokwenda kinyume na falsafa ya upendo. Upendo ni …

Hii Ndio Faida Ya Kusikiliza Sauti Yako Ya Ndani Na Kuacha Kusikiliza Sauti Za Nje

Habari Mpendwa Rafiki na Msomaji wa mtandao wa Kessy Deo? Natumaini unaendelea vema katika shuguli zako za kila siku. Natumaini umeamka na malengo ya siku ya leo rafiki kuamka bila malengo na kutokuwa na ratiba ni njia ya kupoteza muda hivyo basi, ni vema sana unapoamka unakuwa na malengo na ratiba itakayokuongoza katika siku nzima. …

Huu Ndio Ukombozi Wa Akili Unaopaswa Kua Nao Kuanzia Sasa Kwenye Maisha Yako

Habari Mpendwa Rafiki na msomaji wa mtandao wa Kessy Deo? Natumaini umeamka salama katika siku hii ya leo hivyo basi, hatuna budi kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa zawadi ya siku hii ya leo. Karibu mpendwa rafiki na msomaji wa mtandao huu katika makala yetu ya siku ya leo ambapo leo tutajifunza utumwa wa akili unaopaswa kuuacha …

Design a site like this with WordPress.com
Get started