Mpendwa rafiki, Lengo kubwa la mwasisi wa ndoa kuweka ndoa ni wana ndoa kushirikiana yaani kuwa na umoja lakini ukiangalia kusudi la mwasisi wa ndoa na wanadoa wa karne hii wanavyoishi ni vitu viwili tofauti kabisa. Na ukiangalia kwa undani wa ndoa wengi hawaishi katika umoja, hata waswahili wanasema kidole kimoja hakivunji chawa. Sehemu ambayo …
Continue reading "Hili Ndiyo Eneo Moja Pekee Ambalo Wanandoa Wengi Hulifanya Kuwa Siri Kubwa"