Watoto wanakupa kile ambacho wewe mzazi unawapa watoto. Kama unawapa upendo basi watoto watakurudishia upendo. Baadhi ya wazazi wanalalamika kuwa watoto hawawajali pale wanapokuwa wakubwa. Kama mzazi hukumjali mtoto wako akiwa mdogo unategemea na yeye akujali ukiwa umezeeka? Kumbuka unavuna kile ulichopanda, usitegemee kuvuna kitu ambacho hujakipanda kutoka kwa mtoto. Kwa mfano, kama mzazi hujawafundisha …
Continue reading “Tegemea Kupata Kitu Hiki Kutoka Kwa Mtoto Wako”