Licha ya kujiandaa na ushindi lakini siyo kila wakati mambo yanaweza kwenda kama vile tunavyotaka sisi. Tunapokuwa tunapanga mambo yetu na dunia inapanga. Hatuwezi kuizuia dunia kufanya vile inavyotaka bali tunatakiwa kukubaliana na asili ya dunia. Hatuwezi kushinda kila wakati, kuna muda tunashindwa hivyo ni jambo la kawaida hilo kila mtu anaalikwa kulifahamu hilo. Hatujui …
Continue reading "Huwezi Kushinda Siku Zote Ila Unaweza Kujifunza Siku Zote"