Huwezi Kushinda Siku Zote Ila Unaweza Kujifunza Siku Zote

Licha ya kujiandaa na ushindi lakini siyo kila wakati mambo yanaweza kwenda kama vile tunavyotaka sisi. Tunapokuwa tunapanga mambo yetu na dunia inapanga. Hatuwezi kuizuia dunia kufanya vile inavyotaka bali tunatakiwa kukubaliana na asili ya dunia. Hatuwezi kushinda kila wakati, kuna muda tunashindwa hivyo ni jambo la kawaida hilo kila mtu anaalikwa kulifahamu hilo. Hatujui …

Hiki Ndiyo Kitu Pekee Ambacho Hakiwezi Kukufikisha Kwenye Mafanikio

Heri ya mwezi April, Ni kawaida watu kuishi bila mipango au malengo, hata ukiwauliza watu nini malengo yako ya mwezi huu tulioanza leo huenda hata asikupe majibu sahihi. Tumekuwa ni wazuri sana katika kuongea kuliko utendaji wa kazi. Watu ni wazuri wa kuweka mipango lakini kwenye utekelezaji ni watu wagumu sana kufanya. Uongo wa watu …

Hii Ndiyo Zawadi Bora Unayoweza Kujipatia Mwisho Wa Mwezi Huu

Mwanamafanikio, Katika maisha kuna mambo mawili kwenda mbele na kurudi nyuma. Watu wengi wanafikiria maisha yanakusimama,hapana maisha hayasimami hata siku moja. Kama ukiona huendi mbele basi unarudi nyuma na kiyume chake ni sahihi. Hakuna mtu anayeweza kusema mimi kwa sasa nimesimama kidogo kuishi labda nitaanza mwakani tena kuishi. Maisha hayasimami, pale unaposimama kuishi ndiyo unakuwa …

Usitarajie Kupata Kitu Hiki Kwenye Maisha Yako

Kila kitu kinahitaji kazi, kazi bila kazi hiyo siyo kazi. Najua hapo ulipo kuna kitu unatarajia kukipata hivyo usitegemee kukipata kama hujakiwekea kazi. Usitarajie kupata kitu chochote kama hujakiwekea kazi. Ukitaka ufanikiwe kwenye eneo fulani la maisha lazima uliwekee kazi. Usitarajie kupata kitu bure, hata cha bure kina gharama yake.  Usidanganyike kwenye chochote kwamba utaweza …

Hii Ndiyo Lugha Bora Ya Kufundishia Watoto

Rafiki, Kila mmoja wetu alikuwa mtoto, kama unasoma hapa huenda una mtoto au unatarajia kupata mtoto. Watoto ni zawadi kutoka kwa Mungu, hivyo tunatakiwa kujifunza namna ya kuwalea watoto hawa ambao tumepewa kama zawadi. Wazazi wengi wanajua kuzaa lakini kwenye malezi kuna ubinafsi mkubwa. Unaweza kukuta mzazi anajijali yeye lakini ukienda kumuangalia mtoto wake, hawafanani …

Hiki Ndiyo Kitu Cha Kuchagua Pale Unapokuwa Ndani Ya Kundi

Kitu ambacho kinafanywa na wengi katika jamii ndiyo huonekana ni sahihi hata kama siyo sahihi. Watu wanapenda sana kuwa ndani ya kundi ili waonekane nao wako kama wengine. Muda mwingine tunaingia kwenye kundi ili tusipitwe na wakati, wako ambao walikuwa hawajajiingiza kwenye mikopo lakini walipoona wengine wanafanya nao wakavutiwa kuingia kwa fikra za kundi. Watu …

Hiki  Ndiyo Kitu Kinachowaponza Watu Wengi Pale Wanapoahidi Kutoa Fedha

Mpendwa rafiki, Kutoa fedha kunauma sana, ni rahisi kuahidi ukiwa huna fedha lakini ukishaipata ugumu ndiyo unaanzia hapo. Mara nyingi watu huwa wanaahidi kutoa fedha kwa hisia, lakini katika utoaji mambo yanakuwa ni mengine. Unapokuwa katika hisia usiahidi kutoa fedha, hisia zitakuongoza utaahidi kiasi cha fedha ambacho huwezi kukitoa. Watu wengi wanapoalikwa katika mambo ya …

Kitu Muhimu Cha Kufanya Kabla Ya Kutatua Tatizo

Rafiki, Huwa ni kawaida ya binadamu kukutana na changamoto, kama unaishi basi huwezi kulikwepa hilo kwenye maisha yako. Huwa tunapopatwa na matatizo muda mwingine tunayatatua matatizo hayo kwa njia ya hisia na siyo kwa kutumia akili. Na kitu kinachotatuliwa kwa hisia huwa kinakuja kuwa na athari baadaye, tukiwa ni watu wa kutatua au kufanya maamuzi …

Hiki Ndiyo Kitu Unachopaswa Kukiamini Na Kukithibitisha

Mpendwa rafiki, Kila mmoja wetu anakosea, na anafanya makosa pia. Hakuna binadamu aliyekamilika na ambaye hafanyi makosa. Watoto wadogo wanapojifunza katika shule za awali huwa wanatumia penseli na ufutio kwa sababu wanapojifunza huwa wanakosea sana, wanapokosea wanafuta na ndiyo maana hawatumii kalamu kujifunza. Jiamini kuwa wewe ni mtu bora katika ufanyaji wa kitu fulani, ila …

Huu Ndiyo Msamiati Unaopatikana Kwenye Kamusi Ya Wapumbavu Tu

Mpendwa rafiki, Watu wengi hawajiamini na wanaona kuwa kufanikiwa siyo haki yao ya kuzaliwa. Wengi hawajiamini kama wanaweza kufanya makubwa kwenye maisha yao. Wengine wanajiita wao ni walala hoi, yaani wao ni watu wa chini hivyo hawezi kufanya makubwa kama watu wengine wanavyofanya. Sisi binadamu tuna uwezo mkubwa sana ulioko ndani yetu. ila cha ajabu …

Design a site like this with WordPress.com
Get started