Hiki Ndiyo Kioo Bora Kuliko Vyote Duniani Katika Karne Ya 21

Mpendwa rafiki yangu, Natumaini una kifahamu kioo, Kioo huwa kinatusadia kujiangalia kama tuko sawa au la. Asubuhi kabla hatujaondoka huwa tunajiangali kwenye kioo kama tumevaa nguo zetu vizuri, kama tuna matongotongo, au la. Kioo kinatusaidia kujitathimini namna tulivyo kwa wakati huo. Kama ilivyo watu wengi walivyokuwa rafiki na kioo, hawawezi kuondoka bila kujiangalia kwanza kama …

Mambo Mawili Muhimu Utakayokutana Nayo Siku Hii Ya Leo

Mpendwa rafiki yangu, Hakuna mtu anayeamka na kujua leo akitoka nyumbani atakutana na changamoto gani. Katika maisha tunapaswa kujiandaa kwa lolote, kwa mazuri na mabaya. Kwani haya yote ni sehemu ya maisha yetu. Leo katika shughuli zako,utaweza kukutana na mambo haya mawili muhimu kwako. Nayo ni kama ifuatavyo; Utakutana na ushindi. Lazima katika mipango yako …

Ifahamu Sheria Kubwa Ya Asili

Mpendwa rafiki yangu, Heri ya mwezi machi,natumaini unaendelea vema kuwa bora kila siku na kuhakikisha unafikia malengo yako. Sisi binadamu wote tuko katika mwendo, kwanza tokea unazaliwa moyo wako haujawahi kusimama kufanya kazi hivyo siku utakaposima na wewe ndiyo utakua mwisho wako hapa duniani. Miili yetu kiasili iko katika mwendo. Kila kitu kipo katika mwendo, …

Njia Bora Ya Kukomesha Umasikini Kwenye Maisha Yako

Sijui kama kuna mtu huwa anakaa chini na kuweka malengo ya kuwa masikini? Bali umasikini wa mtu huwa unakuja kwa kujitakia mwenyewe kwa kushindwa kuwajibika katika kazi. Hakuna njia nyingine bora ya kukomesha umasikini kwenye maisha yako kama ya kufanya kazi. Umasikini unaondolewa kwa kufanya kazi. Lakini kama umasikini unaondolewa kwa kufanya kazi kwanini watu …

Leo Acha Kufanya Yote Na Ikumbuke Siku Hii Muhimu Kwako

Mpendwa rafiki yangu, Kila mtu ana siku yake muhimu katika maisha yake, wengine huwa wanakumbuka siku zao za kuzaliwa, hivyo wanasherekea kwa namna yao wenyewe. Katika makala hii ya leo ninataka ukumbuke siku hii moja muhimu katika maisha yako, na kama kila mmoja wetu akiikumba vizuri na kuitumia hamasa hiyo kwenye kile anachofanya lazima atafanikiwa. …

Usimwadhibu Mtoto Hili Siyo Kosa Lake

Mpendwa rafiki yangu, Watoto ni zawadi kutoka kwa Mungu. Hakuna mtu anayeandika barua ya kuomba kuwa na mtoto bali mtoto ni matunda ya ndoa. Kama sisi wote tulikuwa watoto, tulizaliwa hatujui kitu. hivyo vitu vingi ambavyo unajua leo ni kwa sababu umejifunza au umefundishwa. Kwa mtoto ambaye uko naye sasa kama hajui kitu hilo siyo …

Hii Ndiyo Staili Bora Ya Kudai Haki Yako

  Sisi binadamu ni viumbe wa kutegemeana, kila mmoja anamtegemea mwenzake. Na hakuna ambaye anajitosheleza kwa kila kitu. Kumbe basi, tunaweza kusema kuwa kujitegemea siyo kujitosheleza.  Vitu vingi tunavyohitaji viko kwa wengine, hata kama unataka haki ya kitu fulani utaipata kutoka watu wenye mamlaka hiyo. Tunapokuwa tunadai haki zetu kutoka kwa wengine, tunatakiwa kuwa na …

Hii Ndiyo Dawa Ya Mtu Ambaye Hataki Kusikia Kile Unachomwambia

Mpendwa rafiki yangu, Waswahili wanasema kuwa asiyesikia la mkuu huvunjika guu. Ni kweli kama husikii lile unaloambiwa lazima dunia itakuadhibu. Mtu ambaye hasikii lile analoambiwa na mkuu wake mwisho wake huwa unakuwa ni majuto. Pia, waswahili walisema, asiyefunzwa na mamae hufunzwa na ulimwengu. Kumbe, kama wewe ni mzazi humfundishi mtoto wako kukaa katika maadili au …

Kabla Hujanunua Kitu Chochote Leo Soma Hapa Kwanza

Mpendwa rafiki yangu, Ni kawaida yetu sisi binadamu kuongozwa na hisia kuliko akili. Hata maamuzi mengi tunayofanya kila siku ni hisia na baada ya kufanya kwa hisia baadaye tunakuja kuhalalisha mawazo yetu kwa akili. Watu wengi wamekuwa wananunua vitu kwa hisia, wengine wanatumia fedha ambazo hawana yaani kukopa ili kuwafurahisha watu wasiojali. Leo kabla hujanunua …

Matatizo Yako Yana Afadhali Kuliko Ya Mwingine

Mpendwa rafiki yangu, Zamani watu wakitaka kujinyonga walikuwa hawajinyongi sehemu yoyote tu, ila walikuwa wanaenda kwenye sehemu maalumu. Sehemu ambayo kuna mazingira rafiki kwa wao kuweza kujinyonga. Mama mmoja alikuwa na watoto wanne, watoto hao wanne walikuwa wanamsumbua sana mama yao.  Watoto walimtesa mama yao hivyo mama yao akajisemea ya nini kujitesa na watoto ni …

Design a site like this with WordPress.com
Get started