Aliyekuwa raisi wa south Africa Nelson Mandela ni moja mtu muhimu ambaye tunaweza kujifunza kutoka kwake juu ya msamaha. Alifungwa gerezani kwa miaka 27 lakini baada ya kutoka gerezani aliweza kuwasamehe watesi wake waliomfunga. Hakutaka kulipa kisasi juu yao bali kisasi aliamua kumwachia Mungu. alisema kuwa asipowasamehe wale waliomfunga atakuwa bado yuko gerezani. Ni mara …
Continue reading "Kitu Muhimu Cha Kujifunza Kutoka Nelson Mandela"