Ogopa Kuwa Mtu Wa Namna Hii Kwenye Maisha Yako

Mpendwa rafiki yangu, Matokeo yoyote unayopata sasa kwa asilimia kubwa ni wewe mwenyewe umechagua kuwa nayo. Wewe ndiyo mchangiaji mkubwa wa kila kitu katika maisha yako. Kwa kuwa wewe ndiyo mkurugenzi wa maisha yako hivyo unatakiwa kuwajibika na maisha yako kwani hakuna anayekosa usingizi kwa sababu ya maisha yako. Kwenye maisha yako unatakiwa kuepuka kuwa …

Ushuhuda Wa Miaka Mitatu Ya Kuandika Kila Siku Na Mambo Matano Ya Kujifunza

Mpendwa rafiki yangu, Safari yangu ya kuandika kila siku kupitia mtandao wa Kessy Deo ilianzia tarehe moja octoba mwaka 2016. Hivyo basi, leo hii namshukuru Mungu kwa kuniwezesha kuandika kila siku bila kuacha tokea mwaka 2016. Kuandika kila siku ni kazi, lije jua au mvua ,kuwepo na changamoto au la lazima makala iende hewani.  Leo …

Kwanini Hupaswi Kumuonea Mtu Wivu Pale Anapopewa Heshima

Rafiki, Falsafa ya ustoa inatufundisha mengi , mwanafalsafa Epictetus katika kitabu chake cha hand book of Epictetus ametufundisha kitu kimoja kizuri ambacho mimi na wewe tunaalikwa kujifunza. Ni kawaida binadamu kuwa na wivu, kwa sababu binadamu wengi wanaendeshwa na hisia kuliko akili. Hatupaswi kuwaonea wivu wale waliofanikiwa kwa sababu vile walivyo jua kuna gharama ya …

Mambo 13 Unayopaswa Kuyajua Kabla Ya Kufika Miaka 30( Sehemu Ya Pili)

Rafiki, kama nilivyokueleza jana leo tutaendelea na sehemu ya pili ya yale mambo 13 , ambapo jana tuliweza kujifunza mambo sita leo hii tutamalizia yale saba yaliyobakia. Kama hukupata nafasi ya kusoma makala ya jana ambayo ndiyo ilikuwa sehemu ya kwanza basi nakusihi usome hapa Namba saba, unatakiwa kuweka bajeti; vijana wengi na watu wengi …

Mambo 13 Unayopaswa Kuyajua Kabla Ya Kufika Miaka 30

Mpendwa rafiki yangu, Mtu yeyote ambaye hana mwelekeo basi mwelekeo wowote humchukua, mtu mwa namna hii anakuwa hana tofauti na bendera. Mahali ambapo upepo unakwenda naye anaenda, usiwe mtu wa kuishi bila misingi sahihi ya maisha. Leo nakwenda kukushirikisha mambo 13 ambayo kila kijana anapaswa kuyajua na mambo hayo ni kama ifuatavyo. Kuwa na marafiki …

Hiki Ndiyo Kitu Kinachotusaidia Bila Hata Sisi Kujua

Natumaini imeshawahi kukutokea siku moja au mara nyingi umepanga kwenda sehemu fulani kwa muda fulani halafu likatokea jambo ambalo hata hukutegemea na ukajikuta umechelewa sehemu husika. Hiyo haitoshi, siku nyingine unajikuta unamuwaza rafiki yako au mtu fulani kabla hata hujajua la kufanya utashangaa yule mtu uliyekuwa unamuwaza anakupigia simu au kuja nyumbani uliko na unamwambia …

Sababu Kuu Moja Kwanini Unatakiwa Ujisukume Wewe Mwenyewe

Mpendwa rafiki yangu, Katika maisha yetu ya kila siku jifunze kujitegemea, tunapokuwa tunajitegemea katika mambo yetu ni ngumu watu wa nje kutuangusha. Unatakiwa kutambua kuwa jukumu la maisha yako ni lako mwenyewe hivyo usisubiri watu waje wakupambanie. Je kwanini unatakiwa ujisukume mwenyewe  au ujitume? Iko sababu kuu moja ambayo imenihamasisha siku hii ya leo nikuandikie …

Kwenye Kila Ushindi Unaoujua Wewe Kuna Kitu Hiki Cha Kujifunza

Mpendwa Rafiki yangu, Mpaka tunaona kazi yoyote imekamilika basi jua kuwa kuna mchakato mkubwa umefanyika. Mafanikio yoyote uliyopata au unayotegemea kuyapata yana mchakato wake. Watu wengi wanapenda kufurahia mafanikio lakini hawapendi kusikia mchakato wa mafanikio. Sasa kwenye kila ushindi wowote ule unaoujua wewe kuna kitu muhimu sana cha kujifunza. Kitu hiko siyo kingine bali ni …

Kitu Pekee Duniani Ambacho Hakuna Anayeweza Kukihodhi Au Kukimiliki Hata Awe Nani

Ni kawaida yetu sisi binadamu kupenda kuhodhi au kumiliki vitu mbalimbali, wapo ambao wanamiliki ardhi, nyumba na mali nyingine. Tunayo nguvu ya kumiliki vitu vyote lakini kuna kitu kimoja ambacho sisi binadamu hatuwezi kukimiliki. Aliyekuwa mwanafalsafa wa ustoa Seneca aliwahi kunukuliwa akisema, ‘’ ukweli hauwezi kuhodhiwa, yeyote anayetafuta ukweli ataupata.’’ Rafiki, kitu pekee ambacho hakuna …

Jinsi Ya Kukabiliana Na Mtu Asiyejielewa

Rafiki, Siyo kila mtu unayekutana naye anajielewa na kujitambua. Tunakutana na watu wa aina mbalimbali kuna wengine wana hekima na kuna wengine hawana kabisa hekima wala busara. Kuishi na watu ni kazi sana kwa sababu kila mtu ana mitazamo yake. Ukitaka kuishi vile watu wanavyotaka hapo utakua unaishi maisha ya kuwafurahisha watu ambayo ni kazi …

Design a site like this with WordPress.com
Get started