Mpendwa Rafiki yangu, Tumekuwa ni watu tunaojitia nuksi sisi wenyewe katika maisha yetu. Tunajikatisha tamaa sisi wenyewe. Tunatumia midomo yetu kujilaani badala ya kujibariki sisi wenyewe. Adui yetu mkubwa katika maisha yetu ni sisi wenyewe. Je ni kwa namna gani sasa tunajitia nuksi ? Tunajitia nuksi kwa kujiambia kuwa hatuwezi. Usijiambie huwezi kwani maneno yanaumba …
Continue reading "Jinsi Watu Wanavyojitia Nuksi Kwenye Maisha Yao"