Tumeshazoea kukopa, wengine kukopa imeshakuwa ni tabia, mtu asipokopa anakuwa anajiona kama vile hajakamilika. Pale mtu anapokuwa hana fedha anaweza kukosa kwa mtu wake wa karibu na akamsaidia lakini kuna kitu ambacho wote hapa duniani hatuwezi kukopa. Kitu chenyewe ambacho hatuwezi kukopa ni muda.Huwezi kukopa masaa 24 yajayo uyatumie kwa mambo yako leo na utakuja …
Continue reading "Kitu Pekee Ambacho Huwezi Kukopa Hapa Duniani"