Utamaduni tulioukuta katika jamii zetu ndiyo unaofanya watu waendelee kuishi maisha ya umasikini.Ulishawahi kumuona watu wa jamii ya kihindi wanaajiriwa? Zaidi ya wao kuajiri? Ulishawahi kuona wakipambana kutafuta kazi huku wakitembea na bahasha? Kuajiriwa siyo kitu kibaya ni kitu kizuri kwa sababu kuna mengi ya kujifunza na kujenga mtandao na watu wengi. Unawasomesha watoto, halafu …
Continue reading "Hivi Ndivyo unavyokuwa Mbinafsi Kwa Watoto Wako"