Mpendwa rafiki yangu, Huwa sisi binadamu tunapenda pale tunaposoma, kuwekeza, kufunga ndoa, kufanya kitu fulani tupewe cheti kama cha uthibitisho fulani. Ndiyo maana ukiwa na soma mafunzo yoyote unatamani sana umalize na upewe cheti chako mapema na hata ukienda kuomba kazi unaonesha cheti cha kuthibitisha kuwa wewe umehitimu mafunzo fulani. Tumekuwa ni watu wa kutafuta …
Continue reading "Hiki Ndiyo Cheti Kikuu Kuliko Vyote Duniani"