Taaluma mbalimbali, miito mbalimbali kama vile ndoa watu huwa wanakula kiapo. Viongozi serikalini wanapopewa nyadhifa fulani huwa wanaapa. Kila mtu kadiri ya imani yake, anashika kama ni Qouran, Biblia ana apa kuwa atakua mwaminifu kutokana na cheo alichopewa.Watawa nao hivyo hivyo wanakiri nadhiri zao.Wanandoa nao huwa wanakiri na kula kiapo kuwa wataishi kwa uaminifu na …
Continue reading "Hawa Ndiyo Mabingwa Wa Kuapa Na Kugeuka Duniani"