Mpango Mzuri Wa Kufikia Fedha Nyingi Unazotaka

Kila mmoja wetu anajua kuwa fedha ni muhimu wala hilo halihitaji ubishi. Fedha ni jawabu la mambo yote. Matatizo mengi waliyokuwa nayo watu siyo matatizo bali hawana fedha. Kama tatizo linalokusumbua linatatulika na fedha basi wewe tatizo lako ni fedha. Tafuta fedha utatue matatizo yanayokukabili. Wale ambao wanawasema vibaya wenye fedha nyingi ni wale ambao …

Faida Namba Moja Ya Kujua Kitu

Kama unajua kitu vizuri utafanya kwa ubora. Matokeo anayozalisha mtu ndiyo kipimo cha ubora wake. Kama utazalisha kazi nzuri basi itapima ubora wako. Ndiyo maana unatakiwa kufanya kazi yoyote ile inayopita kwenye mikono yako kwa ubora wa hali ya juu. Ukifanya hovyo, watu watakuchukulia hivyo hivyo. Faida namba moja ya kujua kitu ni kufanya kwa …

Njia Nzuri Ya Kufuta Makosa Yako Pale Unapokuwa Umekosea

Hakuna mtu ambaye hakosei. Siyo tu kukosea hakuna mtu ambaye yuko sahihi asilimia 75. Hakuna mtu yeyote ambaye anaweza kuwa sahihi mara zote. Hili linadhihirishwa na aliyekuwa raisi wa Marekeni Theodore Roosevelt aliwahi kunukuliwa akisema, kama angeweza kuwa sahihi asilimia 75 tu angeweza kufanya makubwa sana. Ukitaka watu wakuheshimu zaidi hata kama umefanya kosa ni …

Hiki Ndiyo Kitu Kitakachokusaidia Kwenye Maisha Yako

Ni ukweli. Ukweli siku zote utakusaidia kwenye maisha yako lakini siyo uongo. Watu wengi wanasema ukweli unaumiza lakini ukweli hauumizi bali unasaidia. Kinachowaumiza watu ni ujinga na siyo ukweli. Ukiwa na ujinga utakuumiza sana mpaka utaiona dunia siyo sehemu salama kuishi kwako. Mtu akikuambia ukweli mshukuru sana na wala usimnunie kwa sababu amekusaidia. Ondoa ile …

Haya Ndiyo Matokeo Ya Kukataa Kubadilika

Kwenye historia uingereza ni nchi ambayo ilikuwa na makoloni mengi kuliko mataifa mengine yenye nguvu duniani kwa wakati ule. Uingereza lilikuwa ni taifa lenye nguvu duniani mpaka kufikia karne ya 20 kwenye miaka ya 1945 walikuja kuanguka. Na sababu kubwa iliyowafanya kuanguka ni kutokubadilika yaani conservative. Tukiachana na utangulizi huo wa historia turudi sasa katika …

Mtaji Ambao Unaweza Kuanza Kufanya Biashara Yoyote Ile

Mpendwa rafiki yangu, Watu wengi wanapenda kujiajiri lakini wimbo umekuwa ni hatuna mitaji. Wengine siyo kwamba hawana mitaji ila hawana utayari wa kuchukua hatua. Mtu asiyekuwa na utayari wa kuchukua hatua huwa hafanikiwi kwenye chochote kile. Ukimwambia mtu kwa nini hujapiga hatua kila siku uko hapo hapo atakuambia sababu nyingi kama vile serikali, wazazi nakadhalika. …

Usikubali Kugeuzwa Kuwa Msukule Wa Namna Hii

Kwenye jamii yetu wengi bado hawajajitambua kabisa. Hawajui kile wanachotaka ndiyo maana wale wanaojua kile wanachotaka wanawageuza misukule ya kufanyia kazi ndoto za mwenzao; huku wao wakipumbazwa wasijue ndoto zao na kuzifanyia kazi. Ili uepuke kugeuzwa kuwa msukule wa kufanyia kazi ndoto za wengine unapaswa kufanya yafuatayo; Moja, jitambue. Kujitambua ni zawadi kutoka kwa Mungu. …

Kwa Kila Unachonufaika Nacho, Kifanye Hivi Zaidi

Rafiki yangu nikupendae,Kwa kila unachonufaika nacho, nakusihi sana kizalishe zaidi kwa wengine. Kuna mbinu ambayo umeitumia na inakusaidia, usikubali kunufaika nayo peke yako, wasaidie wengine pia. Umepata maarifa, zalisha zaidi maarifa hayo uliyopata kwa watu wengine ili nao wanufaike. Umepata fedha, zalisha fedha zaidi kwa wengine ili nao wanufaike. Umeweza kujiajiri, wasaidie wengine waweze kujiajiri …

Kataa Rushwa Hizi Kama Unataka Kufanikiwa

"Mwandishi mmoja amewahi kuandika makampuni makubwa huwa yanawalipa vizuri sana vijana pale wanapoanza kazi ili kuzima ndoto zao, wakishakaa muda mrefu hawawalipi tena vizuri kwa sababu wanajua hawana tena ndoto kubwa au ujasiri wa kwenda kupambana wenyewe." Viko vitu ambavyo vimekuwa kama rushwa ambavyo vimewafanya watu wengi kutoziishi ndoto zao. Mshahara na marupurupu mbalimbali ni …

Design a site like this with WordPress.com
Get started