Kila ulichonacho umekopeshwa. Kama unavyojua kitu cha kukopeshwa lazima ukirudishe kwa wenyewe pale wanapokihitaji. Vitu vyote ulivyonavyo, kuanzia watu wako wa karibu, mali, kazi, biashara nk umepewa kwa muda, itafikia wakati utavirudisha yaani utavipoteza. Na unatakiwa ujiandae pale vinapoondoka vile ulivyonavyo visikuumize. Jiambie kwamba, muda wake wa kuvirudisha umefika kwani niliazimwa kutumia kwa muda tu. …
Continue reading "Kila Ulichonacho Unaweza Kukipoteza Muda Wowote"