Natumaini ilishawahi kukuta wakati uko mdogo, unaota unaona choo na ukikitumia tu unakuta tayari umeshajikojolea. Ukiona choo kwenye usingizi usikitumie, ina maana gani kwetu? Ukiona mambo ni rahisi sana shtuka.Ukiona mambo yanaenda vizuri kwenye biashara shtuka. Huenda unategwa hapo ili uingie kwenye mtego. Kama unafanya kitu na hakikusumbui, shtuka. Kama una ratiba ya siku ambayo …
Mauzo Hayaishii Pale Anaponunua Bali…
Maisha ni mauzo na yeyote anayeweza kuuza vizuri zaidi ndiye anayefanikiwa. Na utaweza kupata chochote unachotaka kwenye maisha yako kama utaweza kuuza zaidi. Tunauza muda wetu, utaalamu wetu, uzoefu wetu, huduma zetu na hata bidhaa mbalimbali. Pia tunauza mawazo yetu, ushawishi wetu na hata ndoto na maono makubwa tuliyonayo. Mauzo huwa hayaishii pale tu mteja …
Tengeneza Fikra Hizi Kwenye Kila Kazi Na Biashara Unayofanya
Kuna watu wanaamini kwamba kuna kazi au biashara zinazolipa kuliko nyingine. Kila kazi au kwenye kila biashara kuna watu wengi tu wanaotengeneza fedha nyingi na wapo ambao hawatengenezi fedha kabisa. Je, unajua kwa nini ?Kwa sababu kinachowatofautisha wale wanaopata fedha na wale wanaokosa siyo kile wanachofanya bali ni namna wanavyofanya kile wanachofanya. Kama hupati matokeo …
Continue reading "Tengeneza Fikra Hizi Kwenye Kila Kazi Na Biashara Unayofanya"
Acha Kufanya Mambo Yasiyokuwa Sahihi
Ili uweze kwenda mbele, lazima kwanza uache kufanya mambo yasiyokuwa sahihi. Ukiwa ni mtu wa kufanya kazi na kufanyia kazi yale mambo sahihi tu lazima utafanikiwa. Hufanikiwi, kwa sababu unafanya mambo yasiyokuwa sahihi mengi. Ukifanya mambo sahihi, lazima utapata majibu sahihi. Mambo sahihi yanafanya kazi kama ukiyafanyia kazi. Ukiamua tu kufanya mambo sahihi lazima utapata …
Usiwe Na Wasiwasi Na Mtu Huyu
Usiwe na wasiwasi na nafsi yako mwenyewe. Kinachowazuia wengi kufanikiwa ni kuwa na wasiwasi juu ya nafsi zao wenyewe. Na ukishakuwa na wasiwasi huwezi kufanikiwa kwenye maisha yako. Kwa sababu adui mkubwa wa imani ni mashaka. Watu wana wasiwasi juu ya nafsi zao wenyewe kwa sababu walijaribu na kushindwa huko nyuma. Hivyo wanahofia kujaribu tena …
Anza Na Soko
Wafanyabiashara wengi wanakosea kitu kimoja, wanaanza na bidhaa badala ya kuanza na soko. Kabla hujazalisha tafuta kwanza soko la kwenda kuwauzia kile unachozalisha. Unapaswa kutafuta kundi ambalo tayari lina njaa, kisha unaliuzia kundi hilo chakula. Kwa kuwa watu wengi wanakosea kwa kuanza na bidhaa kisha kutafuta soko,wewe anza na soko kisha bidhaa. Ukishakuwa na watu …
Uliwezaje Kuanza Kama Unashindwa Kuacha
Sisi binadamu tunaongozwa na hisia kweli kuliko mantiki. Yaani tunafanya mambo kwa hisia halafu tunakuja kuhalalisha kwa mantiki. Watu huwa wanatoa sababu za kijinga kweli pale wanapokuwa hawataki kufanya jambo fulani. Sababu hazina mashiko kabisa lakini anataka kuhalalisha kile anachotaka kuwa ukweli hata kama si kweli. Watu wanajiingiza kwenye uraibu kama vile wa ulevi, uvutaji …
Usiuze Sifa, Uza Manufaa
Kwenye mauzo, usihangaike sana kutaja sifa za bidhaa zako, jitahidi sana kuuza manufaa ambayo mteja atapata baada ya kununua bidhaa yako. Huwa tunafanya makosa sana kwenye mauzo, unamwambia mteja sifa za bidhaa zako ambazo kiuhalisia sifa hazimsaidii mteja kwa changamoto alizonazo. Mteja atafarijika pale bidhaa yako itakapokwenda kumtatulia changamoto zake. Pale bidhaa itakapokuwa suluhisho la …
Wakati Mwingine Unashindwa Kuuza Kwa Sababu Hii Hapa
Kuna wakati utajiona kama vile una kisirani, huna bahati kwa sababu kila unavyopambana kuuza huuzi. Kuna kosa moja ambalo unafanya na kosa hilo ni kukosa shauku. Shauku ndiyo sifa namba moja inayolipa duniani. Yeyote anayeongea kwa shauku au kufanya kitu chochote kwa shauku anakuwa anauza kile anachofanya. Shauku ni ile hali ya uungu ndani yako, …
Continue reading "Wakati Mwingine Unashindwa Kuuza Kwa Sababu Hii Hapa"
Kwenye Maisha Hakuna Kitu Hiki
Kwenye maisha hakuna kitu kinachoitwa ndugu mtazamaji. Bali kwenye maisha tuna ndugu mchezaji. Kama uko hai basi wewe ni ndugu mchezaji. Uko uwanjani na unatakiwa ucheze namba yako na siyo kutazama wenzako wanavyocheza. Pia, una uamuzi wa kuwa bize na maisha yako au kuwa bize na dunia ikuendeshe vile inavyotaka. Ili upate ushindi unapaswa kucheza …